CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
Charminglady naomba niwe campaign manager wa hii kampen maana nimechoka nayo lol
yan ntakushukuru mpaka naingia kuleeeee!!!!! i real hate this
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Charminglady naomba niwe campaign manager wa hii kampen maana nimechoka nayo lol
hamjamboni wanaCC
dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
Mtalaka wangu upo? Nimekukosa sana, nasikia kuna bazazi limekuweka ndani siku hizi...
charminglady jana dada mmoja mpendwa katika bwana kaniletea kadi ya kparty na send offhamjamboni wanaCC
dah, wakati watu tuko kwenye kampeni ya TOKOMEZA MICHANGO YA HARUSI, SEND OFF NA KITCHEN PARTY mwingine anaibuka kukuomba mchango wa birthday! jaman jaman jaman maisha yenyewe magumu!!
acha misifa, ni watoto wangapi yatima unaowasaidia? Au mpaka uombwe?kutoa ni moyo
mbona vituo vya watoto yatima vingi sana,kuna kile kituo cha kulea wazee nacho kinahitaji wallet yako iwasaidie,mahospitali kuna wagonjwa wanahitaji hizo pesa zako walipie matibabu coz hawana hata senti tano.:der:
Charminglady naomba niwe campaign manager wa hii kampen maana nimechoka nayo lol
Hapo umenena swithat........sisi harusi yetu tutakuwa Wewe,Mimi na Mchungaji basi....atakayetaka kuja alipe kiingilio
yan nataman nikajifiche cjui wapi. afu ukizingatia ni jiran nyumba ya pili. cwez kukwepa.me b-day yang july watachangaje
https://www.jamiiforums.com
Mimi huwa nachangia kwa sharti moja tu, lazima nipewe kusimamia kamati ya vinywaji.