nimechoka na huyu mume msaada

mmmh, mdada polee, nimeona wachangiaji wengi hawaoni kama ukimya wake ni sababu. hiyo ni sababu tosha ya kukutia wasiwasi iwapo mwanzoni hakuwa hivyo, naww bado hujaweza kuizoea hiyo hali.lakini cha msingi ni kuendelea kuvumilia tu.au mi naona changamkia hao wanaokumendea ili utulize akili yako na uenelee kubakia na ndoa yako.usikimbilie kuvunja ndoa
 
Kama hata salamu hakupi basi mna tatizo zaidi ya mawasiliano ya simu.

Huyu mtu ana matatizo lizzy yani akiwa na kazi anaweza kuchanganyikiwa kabisa sas ntambadilishaje aondokane na hii hali nahis hana uwezo wa kumanage mambo mengi kwa wakat mmoja
 
Sijatumia mbege hapa nipo ofisini.alafu wew unarahisisha tuu.ungekuwa ni wew ungejifil vibaya sifikirii starehe.kwa hiyo mume kuamka nakumpigia simu mkew kujua kaamkaje ni starehe?
Any way am gona tired

wewe mwenyewe umesema anatabia ya kutocare simu, inabidi ukubaliane na mapungufu yake, kila binadamu anamapungufu, mimi mwenyewe mke wangu yuko mkoani mimi niko Dar huwa tunamaliza hata mwezi bila kuwasiliana lakini hamandi hata kidogo, nikiwa bize akipiga simu nakata, baadaye tukiwasiliana na mwambia dear nilikuwa bize anatulia nakusema usijali Dear
 
Davina inawezekana there is more to this than maelezo ulotoa.... Wanadamu watofautiana saana kitabia, na moja ya hio tabia ni kuonesha ni kwa kiwango gani ajali kuhusu familia. Sio wanaume woote wapo that caring kwa familia zao, but haina maana kua hawana Mapenzi na familia zao (iwe mke ama watoto). Mwenyewe usha kiri kua hayupo caring kwa familia toka kipindi.... kwa maneno mengine ni hio kuzima simu na kutojali ni kawaida yake....

However kuna maswali ya msingi ya kuuliza hapa maana wanawake twatofautiana ku define caring..... Unaposema hayupo caring ni sababu tu akutafuti kwenye simu ama sababu hatimizi pia responsibilities zake ndani ya familia? Angalia tabia yake kwa mambo mengine (nje ya the so called caring) katika ndoa yenu ipo vipi.. Na zingatia pia kua kuishi wanadamu pamoja ni kazi saana hivo wanandoa kuna wakati hua wanapita unaitwa "Rut stage" yaani mnakua mmechokana mpaka baaas! to the extent msipoangalia mwaweza vunja ndoa kizembe kabisa. Nakushauri kua hilo wazo umeamua liangalie/tafakari kwa undani before moving forward.... Nakutakia kila la kheri katika kutatua tatizo lako....

Kujali I mean anajali familia kwa mahitaji yoote lakini kimawasiliano ndo anakiwa mgumu
 
Kujali I mean anajali familia kwa mahitaji yoote lakini kimawasiliano ndo anakiwa mgumu

Seven years hujamsoma na kujua mapungufu yake haswa kwenye suala la mawasiliano
Na umeshindwa kukaa nae mkaongea (wakati akiwepo) ukamweleza the way unavyokereka kwa kukosa mawasiliano nae na ukajaribu kumwomba kuwa kidogo awe anabadilika kabla ya kuambua kuanza kusema unavunja ndoa sababu ya kukosa mawasiliano
 
Huyu mtu ana matatizo lizzy yani akiwa na kazi anaweza kuchanganyikiwa kabisa sas ntambadilishaje aondokane na hii hali nahis hana uwezo wa kumanage mambo mengi kwa wakat mmoja
Kama unatambua kwamba uwezo wa kufanya hili na lile kwa wakati mmoja hanao basi ni vizuri ukalikubali hilo na kujikita kwenye kumsaidia zaidi badala ya kulalamika. Watu wengine hivyo ndivyo walivyo. . . hata wakitaka wenyewe bado sio rahisi wao kubadilika kwasababu ubongo unahusika sana.

Kuhusu mawasiliano embu jichukuze. Unapompigia hua unamwambia nini? Hua unatumia sauti (tone) gani? Inawezekana wewe mwenyewe ndie unaemfanya awe anazima au hata asihangaike kukupigia kwasababu unaweza ukafanya siku/usiku wake ukawa mbaya.

Na je mkiwa nyumbani hua mnaongea maongezi ya kawaida tu yasiyohusisha pesa ya matumizi, ada za watoto na matatizo mengine?
 
Kujali I mean anajali familia kwa mahitaji yoote lakini kimawasiliano ndo anakiwa mgumu

Davina dear, mumeo ndivyo alivyo; ukianza kuassume vitu utaviona hata kama havipo. Inaonekana una freetime ya kuzidi kiasi kwamba unatumia muda mwingi kufikiria mumeo atakuwa anafanya nini na nani.

Ushauri wangu, tafuta kitu cha kuoccupy muda wako ili atleast nawe uwe busy japo kidogo!

Huwezi kumbadilisha; so stop trying. Ukiamua kumuacha na waweza kumpata anayeongea na wewe while yuko kwenye kifua cha mwanamke mwingine n trust me wa hivyo ni wengi (I am speaking from experience ya kuwa na mume wa mtu, na kuibiwa vile vile).
 
umevumilia miaka 7 makosa hayo n zaidi ya hao leo cm iwe ndio sababu? au umepata mwengine asie funga simu? shost zimwi likujualo halikuli likakwisha...
 
Davina dear, mumeo ndivyo alivyo; ukianza kuassume vitu utaviona hata kama havipo. Inaonekana una freetime ya kuzidi kiasi kwamba unatumia muda mwingi kufikiria mumeo atakuwa anafanya nini na nani.

Ushauri wangu, tafuta kitu cha kuoccupy muda wako ili atleast nawe uwe busy japo

Huwezi kumbadilisha; so stop trying. Ukiamua kumua cha na waweza kumpata anayeongea na wewe while yuko kwenye kifua cha mwanamke mwingine n trust me wa hivyo ni wengi (I am speaking from experience ya kuwa na mume wa mtu, na kuibiwa vil

Thanks kwaushaur mzuri mine
 
Dah..hapa kapatikaba npigia ile anapokea tuu.kaanza kuna kitu kinanchanganya h hivi ile laptop uliyonitumia uliweka kebo ya umeme mbona kama siioni..cjamjibu nkakata cm kapiga sipokei nahisi me nakuwa mtumwa ukizingatia midume kibao yanimendea hyu namheshimu lakn ataka kunipa presha dah
Pole lakini wahitaji kutulia na kisha ujaribu kumsoma mwenzi wako na pia maamuzi yako yasiwe ya papara kwani waweza ambulia pabaya. Sikuombei mabaya Davina. Pia hebu eleza anapokuwepo home hali yenu kimapenzi iko vipi?
 
Pole lakini wahitaji kutulia na kisha ujaribu kumsoma mwenzi wako na pia maamuzi yako yasiwe ya papara kwani waweza ambulia pabaya. Sikuombei mabaya Davina. Pia hebu eleza anapokuwepo home hali yenu kimapenzi iko vipi?

Huwa tunaelewana vizur tu kama kuna tofaut ni za kawaida
 
tatizo lenu wakinadada huwa mnatujua kabisaaaa kabla hata ya ndoa lakini mnajipa mmoyo kuwa mtatubadilisha.waswahili walisema samaki mkunje angali mbichi
 
Wewe huna adabu matatizo ya ndoa badala kuyamaliza kimya kimya chumbani unakuja kupiga kelele huku.

Mnakimbilia kuolewa hata misingi ya ndoa hamuijui...wewe ulidhani kuolewa ni kukumbatiwa tu saa zote.

Kuolewa ni shule, lazima ujifunze nini mana ya ndoa kabla ya kuolewa...eti simu anazima, labda kachoka na kelele zako.
 
pole sana davina kuna vitu sisi wachangiaji tunaviona kama vidogo lkn muhusika vinamuumiza sana.lkn davina ulishawahi kumwita na kuongea nae kuhusu swala hili kama bado jaribu kuongea nae si ajabu mwenzio anaona kawaida tu kumbe we ashawaza kumpiga chini.
 
hili ndo jamvi, utapata kila aina ya mauzi,
ongea naye ili umfuate huko huko aliko kama utapata ajira huko.
mwanzo ni simu mwisho ni magonjwa, mfuate mumeo mwaya.
 
Ww dada unaonesha immaturity hata kama una miaka yote hyo alafu inaonekana kuna kitu unakijutia ndo maana yawezekana unaona bora umrudie mdingi akupeleke kwa skuli,yawezekana uliolewa kwa tamaa tu ila haukuwa umekomaa na kujua maana ya ndoa unamokwenda kuingia

Nyinyi dadaz wa leo kinachowashinda kwenye ndoa na never hamtafanikiwa katika hili mpaka mtakapoacha kuishi kwa kuiga (artificial life) na ama mrudi vijijini akina mama wa uko watawafunza maana ya ndoa na si hawa masugarmamy wa mjini mnaopiganana nao vikumbo huko baa

Dada haya mambo si vizuri ukatuuliza sisi ambao najua wengi humu bado hata ndoa hatutaki kuzisikia,inakubidi uwatafute walio kwenye ndoa kama wewe hao wanaweza kukusaidia vinginevyo mie ntakwambia mwache mmeo njoo kwangu,upo tayari,utakuja?
 
Hapo red panahusu sana
Baada ya kuanza kumendewa na midume
Umeota pembe reeeefu katika paji la uso

Sasa naweza kukupa 'Go Ahead'
Nimeshaona sababu za kukufanya uachane naye
And "amu vere hapi fo yu'
Dah..hapa kapatikaba npigia ile anapokea tuu.kaanza kuna kitu kinanchanganya h hivi ile laptop uliyonitumia uliweka kebo ya umeme mbona kama siioni..cjamjibu nkakata cm kapiga sipokei nahisi me nakuwa mtumwa ukizingatia midume kibao yanimendea hyu namheshimu lakn ataka kunipa presha dah
 
Back
Top Bottom