mmmh, mdada polee, nimeona wachangiaji wengi hawaoni kama ukimya wake ni sababu. hiyo ni sababu tosha ya kukutia wasiwasi iwapo mwanzoni hakuwa hivyo, naww bado hujaweza kuizoea hiyo hali.lakini cha msingi ni kuendelea kuvumilia tu.au mi naona changamkia hao wanaokumendea ili utulize akili yako na uenelee kubakia na ndoa yako.usikimbilie kuvunja ndoa