Naomba msaada..ni mume wangu nina miaka saba nae some how hajatulia lakini kwa kuwa me ni mwanamke mpambanaji maisha yaendelea kiubishi..yupo mkoani kikazi toka jana usiku saa tatu kazima simu hajanitafuta simu zote hazipatikani mpaka sasa najua yawezekana pia kapitiwa mambo mengi kasahau kuiwasha asubuhi au hazina charge lakini pia huwa siyo mtu wa kucare sana mawasiliano ya family hasa akisafiri..
Pamoja na sababu yoyote atakayonipa nataka niweleze kuwa nimechoka kuishi kwa wasi wasi coz kazima simu nitajuaje kama kapatwa na matatizo au ni mzima?
Hii hali imenichosha na ndiyo kawaida yake sa naona naishi kwa wasi wasi coz of him. Namweleza kuwa bora nirudi nyumban kwetu nikamwombe baba yangu aniendeleze kielimi am tired with this stupid life mwanaume hapendeki anataka roho yangu
Kuna wakati huwa nampotezea kabisa sijishughulushi kumpigia simu lakini sasa mwenzangu habadiliki
Pamoja na sababu yoyote atakayonipa nataka niweleze kuwa nimechoka kuishi kwa wasi wasi coz kazima simu nitajuaje kama kapatwa na matatizo au ni mzima?
Hii hali imenichosha na ndiyo kawaida yake sa naona naishi kwa wasi wasi coz of him. Namweleza kuwa bora nirudi nyumban kwetu nikamwombe baba yangu aniendeleze kielimi am tired with this stupid life mwanaume hapendeki anataka roho yangu
Kuna wakati huwa nampotezea kabisa sijishughulushi kumpigia simu lakini sasa mwenzangu habadiliki