HuwaSikasiriki
Member
- Jul 13, 2012
- 13
- 3
Wakuu,
najua baadhi yenu mnajua ninachouliza. Ni kwamba nilifungua account ya facebook lakini hatimaye sioni faida yake. Nimeamua niifunge yaani nisiwe nayo kamwe. Iwe deleted kama inawezekana.
Nifanyeje. Nitumie process zipi.
Saidia tafadahali.
najua baadhi yenu mnajua ninachouliza. Ni kwamba nilifungua account ya facebook lakini hatimaye sioni faida yake. Nimeamua niifunge yaani nisiwe nayo kamwe. Iwe deleted kama inawezekana.
Nifanyeje. Nitumie process zipi.
Saidia tafadahali.