Nimechoka kuuumiza kichwa, sasa naliweka wazi

Foundation

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
1,421
596
Kwa miaka mingi nimekuwa nikiwasikia Madaktari na Walimu wakilalamika waongezewe mshahara na posho.Sio hayo tu hata kama wana madai yao ya malimbikizo ya mishahara au posho yoyote huwa wanapaza sauti sana.

Chama cha Walimu Tanzania(CWT) na Chama cha Madaktari Tanzania(MAT) wamekuwa wakipaza sauti kwa niaba ya Walimu na Madaktari huku wakiungwa mkono na walimu na madaktari. Ingawa chama cha Walimu kimekuwa kikiyumba lakini kimeonyesha njia. Chama cha Madaktari kimekuwa kikisimama bila kuyumba wakati wote hata kama wakigawanyishwa.

Sasa huwa najiuliza, hivi hapa Tanzania ni Madaktari na Walimu peke yake wana matatizo.Je Wahandisi,wahasibu na kada nyingine hawana matatizo?

NASIKIA WAHANDISI WANA CHAMA CHAO WANAKIITA INSTITUTION OF ENGINEERS, HUWA SIKISIKII HIKI CHAMA KUWATETEA WAHANDISI ZAIDI YA KUHAMASISHA WAHANDISI WAJIUNGE NA HICHO CHAMA NA KUORGANISE SEMINARS,WORKSHOP NA TOURS.

Au hizi kada nyingine ukitoa Walimu na Wahandisi hawana matatizo

ANGALIZO: KAMA HUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UICHE HII THREAD
 
Kwa miaka mingi nimekuwa nikiwasikia Madaktari na Walimu wakilalamika waongezewe mshahara na posho.Sio hayo tu hata kama wana madai yao ya malimbikizo ya mishahara au posho yoyote huwa wanapaza sauti sana.

Chama cha Walimu Tanzania(CWT) na Chama cha Madaktari Tanzania(MAT) wamekuwa wakipaza sauti kwa niaba ya Walimu na Madaktari huku wakiungwa mkono na walimu na madaktari. Ingawa chama cha Walimu kimekuwa kikiyumba lakini kimeonyesha njia. Chama cha Madaktari kimekuwa kikisimama bila kuyumba wakati wote hata kama wakigawanyishwa.

Sasa huwa najiuliza, hivi hapa Tanzania ni Madaktari na Walimu peke yake wana matatizo.Je Wahandisi,wahasibu na kada nyingine hawana matatizo?

NASIKIA WAHANDISI WANA CHAMA CHAO WANAKIITA INSTITUTION OF ENGINEERS, HUWA SIKISIKII HIKI CHAMA KUWATETEA WAHANDISI ZAIDI YA KUHAMASISHA WAHANDISI WAJIUNGE NA HICHO CHAMA NA KUORGANISE SEMINARS,WORKSHOP NA TOURS.

Au hizi kada nyingine ukitoa Walimu na Wahandisi hawana matatizo

ANGALIZO: KAMA HUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UICHE HII THREAD

Nimeiacha hii thread!Lakini jibu lipo wazi,kama chama kipo kimya ujue wanachama hawana matatizo!
 
Mr. Foundation mm ni mhandisi wa ujenzi

Tatizo la wahandisi ni kubwa sana na ni dogo sana

kubwa kwani wengi ni underpaid...

dogo kwa sababu kazi ziko nyingi na wanahama watakavyo...
dogo kwani wengi wameajiriwa na sekta binafsi........
na ni dogo zaidi kwa sababu wanaishi kwa rushwa...
 
Usingizi wa viroba huo. Usiwe kama kondom iliyotumika ikafuliwa inasubiri mwingine.
Kwa miaka mingi nimekuwa nikiwasikia Madaktari na Walimu wakilalamika waongezewe mshahara na posho.Sio hayo tu hata kama wana madai yao ya malimbikizo ya mishahara au posho yoyote huwa wanapaza sauti sana.

Chama cha Walimu Tanzania(CWT) na Chama cha Madaktari Tanzania(MAT) wamekuwa wakipaza sauti kwa niaba ya Walimu na Madaktari huku wakiungwa mkono na walimu na madaktari. Ingawa chama cha Walimu kimekuwa kikiyumba lakini kimeonyesha njia. Chama cha Madaktari kimekuwa kikisimama bila kuyumba wakati wote hata kama wakigawanyishwa.

Sasa huwa najiuliza, hivi hapa Tanzania ni Madaktari na Walimu peke yake wana matatizo.Je Wahandisi,wahasibu na kada nyingine hawana matatizo?

NASIKIA WAHANDISI WANA CHAMA CHAO WANAKIITA INSTITUTION OF ENGINEERS, HUWA SIKISIKII HIKI CHAMA KUWATETEA WAHANDISI ZAIDI YA KUHAMASISHA WAHANDISI WAJIUNGE NA HICHO CHAMA NA KUORGANISE SEMINARS,WORKSHOP NA TOURS.

Au hizi kada nyingine ukitoa Walimu na Wahandisi hawana matatizo

ANGALIZO: KAMA HUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UICHE HII THREAD
 
Mr. Foundation mm ni mhandisi wa ujenzi

Tatizo la wahandisi ni kubwa sana na ni dogo sana

kubwa kwani wengi ni underpaid...

dogo kwa sababu kazi ziko nyingi na wanahama watakavyo...
dogo kwani wengi wameajiriwa na sekta binafsi........
na ni dogo zaidi kwa sababu wanaishi kwa rushwa...
Mkuu tupo kwenye boti moja, this country is too corrupted! kiasi cha kuwafanya watu wahsindwe hata kutambua nini maana ya maadili ya kazi zao. When an Engineer is under paid in Tanzania, he just look for another job and leave the old one. Hili ndilo linatufanya tuendelee kuwa disorganized and never solve the engineering problems.
 
Wasomi kwenye kada nyingine wana nafasi kubwa ya kuajiriwa kwny mashirika binafsi.Isitoshe sio wengi kama kama walimu na madaktari.
 
Hadi sasa Madaktari ndio wanalipwa zaidi kuliko kada nyingine. Tujiulize kwa nini hao wengine wapo kimya. Kuna uwezekano wana njia za mkato zinazowafanya kupata pesa kama kupata 10% kwenye miradi au kuiba pesa za umma
 
Nimeiacha hii thread!Lakini jibu lipo wazi,kama chama kipo kimya ujue wanachama hawana matatizo!
Ukumbuke kuwa Madaktari ndio waaanaongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa ukilinganisha na kada nyingine lakini bado wanaona haziwatoshi.Utasemaje hao wengine hawan matatizo
 
Wasomi kwenye kada nyingine wana nafasi kubwa ya kuajiriwa kwny mashirika binafsi.Isitoshe sio wengi kama kama walimu na madaktari.

Sip ukweli. Hamna kada ambayo haiwezi kuajiriwa sekta binafsi
 
Mr. Foundation mm ni mhandisi wa ujenzi

Tatizo la wahandisi ni kubwa sana na ni dogo sana

kubwa kwani wengi ni underpaid...

dogo kwa sababu kazi ziko nyingi na wanahama watakavyo...
dogo kwani wengi wameajiriwa na sekta binafsi........
na ni dogo zaidi kwa sababu wanaishi kwa rushwa...


Je kuhama hama kwao kunawafanya wanakoenda wapate maslahi wanayoyataka. JE ni wahandisi wote wana nafasi ya kula rushwa? Je huko sekta binafsi wanalipwa vizuri?
 
Mkuu tupo kwenye boti moja, this country is too corrupted! kiasi cha kuwafanya watu wahsindwe hata kutambua nini maana ya maadili ya kazi zao. When an Engineer is under paid in Tanzania, he just look for another job and leave the old one. Hili ndilo linatufanya tuendelee kuwa disorganized and never solve the engineering problems.

Solution?
 
Hadi sasa Madaktari ndio wanalipwa zaidi kuliko kada nyingine. Tujiulize kwa nini hao wengine wapo kimya. Kuna uwezekano wana njia za mkato zinazowafanya kupata pesa kama kupata 10% kwenye miradi au kuiba pesa za umma

Ni wangapi wanaweza au wana nafasi ya kula rushwa?
 
Wahandisi wengi ni mbayuwayu hawasubiri ajira za CCM sanasana wanaipiga katoo Serikali inapowapa tenda
 
Wahandisi wengi ni mbayuwayu hawasubiri ajira za CCM sanasana wanaipiga katoo Serikali inapowapa tenda

Naona wengi mnazungumzia wahandisi tu. Kuna kada nyingi ukitoa Walimu na Madaktari ambao wapo kimya
 
Back
Top Bottom