Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Kwa miaka mingi nimekuwa nikiwasikia Madaktari na Walimu wakilalamika waongezewe mshahara na posho.Sio hayo tu hata kama wana madai yao ya malimbikizo ya mishahara au posho yoyote huwa wanapaza sauti sana.
Chama cha Walimu Tanzania(CWT) na Chama cha Madaktari Tanzania(MAT) wamekuwa wakipaza sauti kwa niaba ya Walimu na Madaktari huku wakiungwa mkono na walimu na madaktari. Ingawa chama cha Walimu kimekuwa kikiyumba lakini kimeonyesha njia. Chama cha Madaktari kimekuwa kikisimama bila kuyumba wakati wote hata kama wakigawanyishwa.
Sasa huwa najiuliza, hivi hapa Tanzania ni Madaktari na Walimu peke yake wana matatizo.Je Wahandisi,wahasibu na kada nyingine hawana matatizo?
NASIKIA WAHANDISI WANA CHAMA CHAO WANAKIITA INSTITUTION OF ENGINEERS, HUWA SIKISIKII HIKI CHAMA KUWATETEA WAHANDISI ZAIDI YA KUHAMASISHA WAHANDISI WAJIUNGE NA HICHO CHAMA NA KUORGANISE SEMINARS,WORKSHOP NA TOURS.
Au hizi kada nyingine ukitoa Walimu na Wahandisi hawana matatizo
ANGALIZO: KAMA HUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UICHE HII THREAD
Chama cha Walimu Tanzania(CWT) na Chama cha Madaktari Tanzania(MAT) wamekuwa wakipaza sauti kwa niaba ya Walimu na Madaktari huku wakiungwa mkono na walimu na madaktari. Ingawa chama cha Walimu kimekuwa kikiyumba lakini kimeonyesha njia. Chama cha Madaktari kimekuwa kikisimama bila kuyumba wakati wote hata kama wakigawanyishwa.
Sasa huwa najiuliza, hivi hapa Tanzania ni Madaktari na Walimu peke yake wana matatizo.Je Wahandisi,wahasibu na kada nyingine hawana matatizo?
NASIKIA WAHANDISI WANA CHAMA CHAO WANAKIITA INSTITUTION OF ENGINEERS, HUWA SIKISIKII HIKI CHAMA KUWATETEA WAHANDISI ZAIDI YA KUHAMASISHA WAHANDISI WAJIUNGE NA HICHO CHAMA NA KUORGANISE SEMINARS,WORKSHOP NA TOURS.
Au hizi kada nyingine ukitoa Walimu na Wahandisi hawana matatizo
ANGALIZO: KAMA HUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UICHE HII THREAD