Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 410
- 283
- Thread starter
- #41
mimi ni kama tomaso kwa hatua iliyofikia labda ingetolewa press release ningeamini lakin majibu ya kisiasa ni kusema tu
....huu sio aina ya uandishi unaotakiwa humu,peleka facebuk wataluelewaaa zaidiii!!Sijakusomaa Mkuu!....
Sasa uandishi wangu unaingiliana vipii na kufeli kwa wanafunzi!?...
Au unataka kuniambia kuwa kwa namna nilinanyoandika naonekana kama mwalimu asiye na maarifaa amaa!?........
Maana bado sijaona kosa nililofanya katika hoja yangu ambayo inaonesha kuwa sina uwezo wa kuwafanya wanafunzi kufauluu!.......
Sometimes tunahitaji jicho la TATU kabla ya kuchangia madaa!......
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
....huu sio aina ya uandishi unaotakiwa humu,peleka facebuk wataluelewaaa zaidiii!!
Biashara inahitaji plan (short term na long term) sio sawa na wanaouza miili yao ambao hawahitaji mtaji zaid ya kusimama barabarani.Kwel walimu wengi ni vilaza....yaan uneshindwa ata kuuza machungwa unalialia tu ...
Samahani mwalimu mziray.......Biashara inahitaji plan (short term na long term sio sawa na wanaouza miili yao ambao hawahitaji mtaji zaid ya kusimama barabarani.
Ukiagiza mzigo wa machungwa kabla haujafika ajira zikatangazwa utaenda nao kureport au utampa nani ambae ulishampanga kwa hilo?
Mwalimu kakutoa ujinga na bado atakufundishia watoto wako alafu unaandika pumba.....
Labda uongelee biashara ya mtu mzembezembe ila sio msomi.
Wewe umejenga nyumba ngapi kwa machungwa? au una magari mangapi?Kwel walimu wengi ni vilaza....yaan uneshindwa ata kuuza machungwa unalialia tu ...
Acha kutukana walimu wewe ulifundishwa na nani? Na kama ni walimu haohao huoni kuwa wewe ni zao la hao unaowaita vilaza? Na kama ni zao la unaowaita vilaza, je wewe sio kilaza??? Je kibaya huzaa chema? Mawazo yako jitahidi yawe na maana sio kuandika kufurahisha umma,Kwel walimu wengi ni vilaza....yaan uneshindwa ata kuuza machungwa unalialia tu ...
Utapataje kwa kushinda na remote nyumbani, nijifarague nifaidike na ninisasa kuajiriwa ndo plan b....acha kujifalagua....kama mtu hajabahatika kupata shule ya private na wala hakupata kituo cha tuition je
We umesoma shule gani?Subiri wewe kuajiri maelfu ya watu sio mchezo lazima serikali ipangilie mambo yake, tena miaka michache ijayo hakutakuwa na mass employment kama saiv, ila kwa waalim wa sayansi na masomo maalumu tu,
Kwa taarifa yakoo sasaa!...Subiri wewe kuajiri maelfu ya watu sio mchezo lazima serikali ipangilie mambo yake, tena miaka michache ijayo hakutakuwa na mass employment kama saiv, ila kwa waalim wa sayansi na masomo maalumu tu,
Kama unadai bajeti imetengwa na hawajaita kazini, ni sahihi ulaumu, lakini kama bado na wenyewe wanapangilia mipango ikae njema haihitaji lawama maana hili taifa letu sote, nadhani rais na timu yake wana nia nzuri kwa taifa letu tusubiri july ifike kitu kitaitika tu,Kwa taarifa yakoo sasaa!...
Suala la ajira tena za ualimu ni process isiyozuilika,Kila mwaka walimu wanastaafu na nchi yetu, idadi ya wanafunzi wapya wanaoandikishwa inaongezeka kila mwaka!...
Kwa logic hiyo tuu...unafikiri kuna atakaye zuia kuajiri waalimu wapya!?..
Acha zako kabisa!.
Na kuhusu kusubiri!...Ajira zetu tayari bajeti yake iliishatengwa bajeti iliyopita yaana 2015-2016...
Wanahitaji muda mrefu kiasi gani kujipanga nikikuuliza fedha iliyopangwa 2015-2016 kwa ajili ya ajira unaweza kujibu!?..(nafikiri hujui)...
Tunaolalamika kuchokaa ni kweli watu wamechoka kusubir!maana kawaida ajira za ualimu hutoka January hadi April! Unafikiri Watu kulalamika kuchoka kusubiri #hawajielewi!?
Hakuna anayefurahia jambo hilii maana wanafunzi wanatuhitaji tukawasaidie(na/wakati shule nyingi zinauhaba wa walimu) lakin mamlaka husika wanaingiza usiasa ndani ya jambo muhimu kama hili na bado MTU unasimama na kuwatetea!..