Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Usilale chali, lalia mkono wako wa kulia namaanisha ubavu wa kulia, yote hiyo itaisha.
Ganesh bana...Do not discuss it.
Usilale bila ya kumuomba Mungu wako, dua ni muhimu kabla ya kulala.
Fungua PM
Yaani unanyongwa halafu tena bado u mzima! Wewe ni noma. Sinyongwi na kamba ndugu ila nahisi nanyongwa na mikono asubuh najikuta nimechoka sana kiasi kwamba siwez kuamka
Nenda katubu kwa uliyemchukulia mkewe
a. Inawezekana ni ndoto mbaya tu, na shughuli nyingi
b. Soma Quran kabla ya kulala hakikisha unaoga kabla ya kusoma..
c. Mtafute sheikh akusomea dua, huenda Allah akakusaidia
d. Hakikisha hujadhulumu mali za watu..
Nakupa maksi kwa A.
B. Hii Quran anasoma sehemu yeyote tu? Vipi kama hajui kiarabu? Na una uhakika gani juu ya imani yake?
C. Allah huenda akamsaidia!!! (Sometimes hatoi msaada) Bora awe makini na maelezo atakayompa sheikh asije asimwelewe akamsomea albadili badala yake (Salat Al badil)
D. Unawezaje kuzuia kitu ambacho kilishafanyika? Au labda sijakuelewa hapa, ahakikishe hajadhulumu=ahakikishe hadhulumu?
majibu
a. Kama hajui Quran inabidi ajifunze kwani ni kinga ya majanga mbalimbali ..
b. Allah huenda akamsaidia ..hatumlazimishi Muumba wetu..akipenda anasaidia (inategemea muombaji) naona hapo kiswahili ndio tatizo
c. Kama amedhulumu maana yake alipe kwanza kabla ya kumuuomba Allah, maana dua ya anayedhulum nadra sana kusikilizwa
Dawa mfupa wa nguruwe, wewe lala na mfupa wa nguruwe au, pia moshi wa bangi nao unawafukuza.
Mtafute Mwingira wa Efatha ila usiende na mke wako!Jaman nimechoka kunyongwa usiku wa manane nikiwa nimelala mbali na hayo nyumba niyokuwa mwanzo nilihama nikidhan ni mikos ya hiyo nyumba, kumbe hata nilikohamia ndo hivyo hivyo nimeshauliza watu mbalimbali na walinipa majibu tofauti tofauti lakini mwishowe nikaambiwa njia pekee ni sala.nikawa nasali asubuh na jion kabla ya kulala lakin mambo yakawa ni yaleyale sasa sina hata hamu ya kuish kwa sababu naona sina msaada tafadhali nipen mawazo yoyote nitayafanyia kazi ili nami niweze kufurahia maisha kama wengine.NAWASILISHA!
Nunua pua ya kitimoto unaweka chini ya mto unavyo lala hili tatizo litakoma