Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 366
Labda nikuulize swali,kama vijana umewachoka wanakudanganya,je hilo jibaba unalolisema ndio halitokudanganya,maana jibaba hilo lina mke wake nyumbani,na wewe atakutumia tu,mwisho wa siku haendi na wewe popote.si bora vijana anaweza akabadili mawazo na kuoa.Kwa hilo jibaba labda ukubali uke wenza.