Je kama umeshakapiga biashara za usiku mm ntajuaje, na ww unataka kuwalelea watoto wngu??? si utawapa condom wapulize kama puto???
Sasa dadaa yangu hebu mie niambie mdogo wako nifanyeje??? maisha mimi vijana wananitoa jasho kweli, anajifanya anakupenda kumbe huko nyuma anacheat kwa wengine, au huoni hii ni balaa dada
Naomba uelewe hapa mimi siombi kazi daycare.......kama watoto ntalea na mwenye nao lakini sio eti mimi ndio mlezi...i'm sory to say it!!! kwanza wewe uliyetaja habari za condom hapa ni mcharuko tu hata sikutaki mie....
ndo maana ,,,kijana mdogo ivyo unataka mzee maana huna market??? je kama kitu ipo loose (kitu haina bush)
Naona kila mtu anaponda tu ina maana JF kila mtu ni kijana humu eeeeh? Siwaelewi unajua!!
Kwanza mapenzi niliyaanza nikiwa na age ya 25 huoni kama nina miaka miwili tu kwenye mapenzi???? pia hao nimewaacha mimi baada ya wao kuwa vicheche....hawajaniacha wao
Hapa kila mtu anashauri nipunguze vigezo hasa cha umri. Sasa itabidi ni edit angalau experience ipungue hata miaka 5 nyuma
pole dadangu,mungu anaona kilio chako ila masharti ya huyo umtakae nae ni magumu,punguza kidogo!!mapenzi sio lazima hivyo viwepo
Unaonekana una njaa kali sana, unataka awe na investment za nini na wewe umelalamika kutendwa hivyo unataka mapenzi ya kweli? What if ukampata wa age hiyo mwenye mapenzi lakini hana investiment?!
ngoja nika forge birth certificate!
Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana. Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka). Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha. Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.