Nimechoka basi
Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka.. sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia.. nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!
Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...
Nina Mpenz na mda mrefu naye kama miaka 6 hivi lakini kwasasa nimechoka.. sababu ziko nyingi lakini kubwa zaidi nikunitishia kuvunja uhusiano kama kunakitu kaniomba ni meshindwa kumtimizia.. nimeshaa kaanaye mara nyingi kumwambia lakini habadiliki kabisa na hiyo inasababishwa kwasababu anajua nampenda sana amefikia hatua ananiambia nisimtafute mpaka atakapo amua yeye kunitafuta,inapita mwezi nashindwa kuvumilia namtafuta ilituyamalize anakubali lakini siku tukitofautiana kidogo ananiambia kwani nilikuomba unitafute!
Nimechoka na matendo yake natakakumwacha lakini kwa kusema kweli nampenda sana naomba ushauri wenu njia ya kumsahau kabisa...