Nimechanganyikiwa, sikujua kama mwisho utakuwa hivi

Uliza wazazi wako vikwazo,tabu,shida na dhoruba walizokutana nazo mpaka sasa.. then na wewe uta ji adjust.. we si ulipenda Boga? Mabinti wa kisasa uvumilivu "F"
 
Makubwa aya,ila pole sana mikiki ya ndoa iyo,endelea kuomba ipo sku ata change tu, na je we ni msafi?isije ikawa na we ni sehemu ya ayo matatizo
 
Yaani ukae na mtu just for the sake of chidren! NEVER. Huyo mumeo mh! Ndo maana ikasemwa "the Educated differ from uneducated same as the living differ from the dead"
 
Ndeo,ngoja nikupe hesabu za haraka haraka:
Siku moja ina masaa 24 hivyo mwaka una masaa 8760.Tuseme Mungu atakupa uhai hadi ufikishe umri wa miaka mia,at 32 ina maana umebakisha miaka 68 ambayo ni masaa 595,680.Umeona sasa? every minute counts,every hour counts ukiwemo muda unaotumia sasa hivi kwenye thread hii,na muda ni upepo ukipita haurudi.Treasure every moment,don't waste it! unaweza kuamua kuishi kwa ajili ya furaha ya watoto lakini certainly sio kwa ajili ya furaha ya mme kama huyu,he does'nt deserve that priviledge.Hivyo basi:
1.Peleka watoto boarding school ili wasishuhudie valangati.
2.Wakiondoka fanya separation,hamia kwenye nyumba uliyoahidiwa na wazazi,akija kukuharass huko mfungulie RB.
3.Akikusumbua nenda mahakamani uombe order ya kukaa na watoto na kumzuia asije kwako(hii sio kuomba divorce).
4.Baada ya hapo take time uone reaction yake,akibadilika akaacha pombe,uhuni etc then well....
5.Yote kwa yote as of today mnyime unyumba na kesho kacheki HIV.
stay blessed,we love you here at JF!
 
labda nikuambie tu...32yrs bado unalipa saaanaa tu!

unapozungumzia kutengana na mwenza kwa umri huo ni lazima utajiingiza kwenye mahusano mengine na hii utaifanya kwa sababu utakuwa na uko katika msongo wa mawazo .. swali linakuja ni mahusiano mangapi utaingia baada ya kuvunja ya msingi (ndoa)
 
Ndeo,ngoja nikupe hesabu za haraka haraka:
Siku moja ina masaa 24 hivyo mwaka una masaa 8760.Tuseme Mungu atakupa uhai hadi ufikishe umri wa miaka mia,at 32 ina maana umebakisha miaka 68 ambayo ni masaa 595,680.Umeona sasa? every minute counts,every hour counts ukiwemo muda unaotumia sasa hivi kwenye thread hii,na muda ni upepo ukipita haurudi.Treasure every moment,don't waste it! unaweza kuamua kuishi kwa ajili ya furaha ya watoto lakini certainly sio kwa ajili ya furaha ya mme kama huyu,he does'nt deserve that priviledge.Hivyo basi:
1.Peleka watoto boarding school ili wasishuhudie valangati.
2.Wakiondoka fanya separation,hamia kwenye nyumba uliyoahidiwa na wazazi,akija kukuharass huko mfungulie RB.
3.Akikusumbua nenda mahakamani uombe order ya kukaa na watoto na kumzuia asije kwako(hii sio kuomba divorce).
4.Baada ya hapo take time uone reaction yake,akibadilika akaacha pombe,uhuni etc then well....
5.Yote kwa yote as of today mnyime unyumba na kesho kacheki HIV.
stay blessed,we love you hear at JF!

Bishanga umenibamba
 
pole sana dada yangu lakini nina mambo ambayo ningependa kuyafahamu kabla ya kufikia kwenye maamuzi ..
  1. watoto wana umri gani??
  2. je katika matatizo yenu mlihusisha ndugu kwa kiasi gani??
  3. maadam ilikuwa ndoa ya kanisani mmejaribu kuhusisha wazee au viongozi wa kanisa???
  4. kuna suala la nyumba na gari ambalo unasema ni 90% mchango wako je vielelezo viko kwa jina gani??
  5. je ana makundi ya ulevi na unayajua??? je hayo makundi ulishawahi kukaa nao na kuelewa ni watu wa aina gani
  6. vipi chakula cha usiku unampatia au umesitisha hiyo huduma???
dada yangu kuvunja ndoa kwa maneno au msukumo na mtazamo wa watu huwa ni rahisi sana lakini ni mambo mengi sana huja baada ya ndoa kuvunjia na wewe si malaika ni lazima utaanzisha mahusiano mengine hivyo itawapa wakati mgumu katika malezi ya watoto .. uwezo wa kubadilisha kila kitu unao wewe na mwisho wa siku matatizo au furaha itakuwa kwako na familia yako

nasubiri majibu ya maswali yangu ndo nishauri zaidi
 
Pole sana ndeonasi, hayo ni maisha yatapita tu, madam ni mumeo na mmefunga ndoa kanisani hukulazimishwa na mtu huna budi kuvumilia, usione wamama wamekaa kwenye ndoa zao ukaona wanafanya kazi ndogo, wanapitia mapito makubwa zaidi ya hayo,usichoke kumkumbusha mlipotoka nina imani bado mapema anaweza badilika,kama ukiona huwezi kabisa nenda kwa mchungaji aliyewafungisha ndoa mweleze akupe ushauri

hakuna maisha ya ndo\ ya kuvumilia zaidi ya kupendena. kama mapenzi hakuna sepa.. what is ndoa ya kanisani. serikali inavunja ndoa pia, mungu takusaheme kwa hilo, anaona mateso unayoyapata.
nimeona nimjibu huyu faster lakini nakuja na ushauri through my experience. nitakushauri kwa kifupi tu.
 
Ndeo,ngoja nikupe hesabu za haraka haraka:
Siku moja ina masaa 24 hivyo mwaka una masaa 8760.Tuseme Mungu atakupa uhai hadi ufikishe umri wa miaka mia,at 32 ina maana umebakisha miaka 68 ambayo ni masaa 595,680.Umeona sasa? every minute counts,every hour counts ukiwemo muda unaotumia sasa hivi kwenye thread hii,na muda ni upepo ukipita haurudi.Treasure every moment,don't waste it! unaweza kuamua kuishi kwa ajili ya furaha ya watoto lakini certainly sio kwa ajili ya furaha ya mme kama huyu,he does'nt deserve that priviledge.Hivyo basi:
1.Peleka watoto boarding school ili wasishuhudie valangati.
2.Wakiondoka fanya separation,hamia kwenye nyumba uliyoahidiwa na wazazi,akija kukuharass huko mfungulie RB.
3.Akikusumbua nenda mahakamani uombe order ya kukaa na watoto na kumzuia asije kwako(hii sio kuomba divorce).
4.Baada ya hapo take time uone reaction yake,akibadilika akaacha pombe,uhuni etc then well....
5.Yote kwa yote as of today mnyime unyumba na kesho kacheki HIV.
stay blessed,we love you hear at JF!

Well said Bishanga asante sana...!!! attitude ni ugonjwa, he will never change... lazima ufanye maamuzi sasa. sanasana atazidi kua mbabe siku zinavyokwenda baada ya kukuchakaza, wake up woman. dunia haikusubiri. You'll manage on your own tena vizuri sana.
 
Nakushauri ondoka uende kwenye hiyo nyumba nduguzo wanayotaka kukupatia

You are beautiful, you are young, usikae mpaka ukapata magonjwa ukashindwa kukuza wanao.

Nakushauri ondoka kwenye hiyo ndoa, hakuna unachogain

Sorry blunt but just as Dr Phil would say...tell it as it is...
 
Nakushauri ondoka uende kwenye hiyo nyumba nduguzo wanayotaka kukupatia

You are beautiful, you are young, usikae mpaka ukapata magonjwa ukashindwa kukuza wanao.

Nakushauri ondoka kwenye hiyo ndoa, hakuna unachogain

Sorry blunt but just as Dr Phil would say...tell it as it is...

lakini hatakiwi kukurupuka katika maamuzi kama ameweza kuvumilia zaidi ya miaka kumi yungali bado na nafasi ya kumbadili.. tabia zingine huchukua muda mrefu sana kubadilika
 
nimechoshwa na habari hizi.......

Usichoke Mkuu,ndo maana ya kuwa na jamvi tukufu la mmu.I will tell you something Boss,usijeshangaa si ajabu jamvi hili lishawahi kumzuia mtu ku commit suicide,who knows? usichoke kusikiliza,usichoke kushauri pindi muda ukikuruhusu.Mtoa mada mwenyewe kasema ishu hii kaileta jamvini baada ya kuona mbele gizaa totoro,ni jambo la thawabu sana to lift someone's heart.
 
Mie naisi angekua mvivu na tegemezi tu na hasiwe mpenda wanawake ungeweza kumvumilia make hiyo khar ulii ijua mapema.
kwa kua na mademu hawakatizi basi chukua 50 zako la sivyo hao watoto watakua yatima wa kukukosa wewe na huyo baba yao.bora uwe single parent. ni ayo tu.
 
Angalia sana hakuna kibaya kama mume kutoka nje ya ndoa waziwazi still upo tu hujui magonjwa yalivyozagaaa??????/ ndoa yaitaji furaha na maelewano tofauti na hapo haina maana kumbuka ndo maana kuna kitu TALAKA waweza kuomba kwa sababu zilizo wazi usisubiri kufia ndani kazi kwako
 
kaa chini uzungumze na mumeo hamna kinachoshindikana chini ya jua usije ukasiliza maneno ya watu sio wote wanaokupenda jaribu kumshirikisha na Mungu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom