Huu uhuru wa kuji express ukizidi huwa unaleta madhara...Sio lazima kuanzisha thread...Kuna dem nachat nae na cm..
Kaniambia leo eti sauti yangu nzuri sana maskioni mwake..
Yani uwa anataka niendelee ongea tu
nikimpigia..
Cjui nifanyeje nimekosa
neno la kumjibu...sijawah ambiwa hvyo
Nifanyeje.?
KARIBUNI