Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,287
huyu dada nafanya nae ofisini.
huwa tunamazoea ya kupiga story mbili tatu wkat wa kazi na ni ya kawaida na hajawahi kunionyesha hisia zozote za mapenzi.
hajaolewa,ni mtu wa makamo around 40yrs..ana mtoto mmoja..akanialika kwake nikamtembelea niu yia..jioni ivi!
basi stor za hp na pale zikaendelea hasa hasa tulikua tunawazungumzia wafanyakaz wenzetu.......kilaji kilikua biere na yeye bapa!!
mara while on the way akanirukia kwenye sofa na kuniambia leo ni leo lzm nimsaidie amevumilia sana...!!huku akiendelea na mahaba ya ajabu nikapagawa..!!akili ikahama...nikashindwa kufurukuta jinsi nlivyokua nimebananishwa!!.........within a second alikua tyr yupo mtupu...........nashkuru alinivalisha dawa ya pendhi!
je naweza kumchukulia hatua za kisheria?.........naomba wataalam wa sheria wanipe muongozo hili limekaaje!!....nipo sirias wadau
vp ulipata utamu? Au kimeo. Kama kuna utam basi potezea