Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
JF ni nzuuri saaana, lakini kama unaona inaingilia hata masuala yako ya kazi.....ni tatizo kwani ukikosa kazi na JF yenyewe kwaheri! Amua/tenga muda, usije rudi nyumbani Namtumbo tarafani ambako mbali na internet umeme wenyewe wa taabu mno! Pole bro!