na tunaishi ili tuleyah...ni kawaida kila mtu kula chakula kila siku ili aweze kuishi.....sioni tatizo hapo......
tunakula ili tuishi.......
yah...ni kawaida kila mtu kula chakula kila siku ili aweze kuishi.....sioni tatizo hapo......
tunakula ili tuishi.......
mie hata simwelewi kabisa huyu mleta mada maana hajasema anataka kula nn?
Preta unajua anataka kula nini huyo lakini mpaka amwage chozi jukwaani?
na tunaishi ili tule
kama tu unafanya kazi
ila kama hufanyi kazi 'usile'
Ule lakini huku ukila chakutosha huo unyegenyaji unahitaji glucose za kutosha
we kula tu.. swala usile vya watu
we nawe husomeki,unataka kula nini????hata kama unatumia tafsida basi iendane na unachomaanisha.........
Kwa kipato si haba.
Hauna tatizo utakula weee iko siku utakinai tu, mark my words, enjoy eating were you can.