bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Umenikumbusha ...'imagine huyu ndo mwanasheria anayekuwakilisha kwenye kesi...'hebu imagine watu kama huyu ndio ma prominent news analysts wetu wa kibongo!
Umenikumbusha ...'imagine huyu ndo mwanasheria anayekuwakilisha kwenye kesi...'hebu imagine watu kama huyu ndio ma prominent news analysts wetu wa kibongo!
itv sasa safiii ila nipashe naona kama wame-base upande mmoja
...kwa comment yako hii sidhani kama nnalakuongeza...Maggid hiyo habari ya siku moja tu una conclude? Ungeendelea kufanya utafiti alafu ndio uje kutoa analysis hapa! This is too low kwa level zako mkuu wangu!
Wewe huchangii post za wenzako subiri kebehi na matusi, na ndio halali yako
TBC1 wanapenda usanii wanataka wagombea kama yule wa Igunga aliyekuwa kituko ndiyo wampe coverage ya kutosha lengo ni kudhalilisha upinzani. Lakini upinzani ukidondosha nondo za ukweli hawaonyeshi hata kwa dawa.
maggid we ni gamba,huwezi kujudge ki2 hiki kwa siku moja,nakudharau unavosema eti ulikuwa ukiwatch tbc 1 newz,hawakuwahi kufanya vyema daima.itv wapo fresh ila ktk urudiaji wa picha za siku ya kwanza ya kampeni za ccm kumpa ujiko sioi ndipo nnapowaona ovyo.maggid kwanza post za wenzako huchangii na ndipo hapo nathibitisha kuwa we ni kanjanja.
Wewe huchangii post za wenzako subiri kebehi na matusi, na ndio halali yako
Maggid hiyo habari ya siku moja tu una conclude? Ungeendelea kufanya utafiti alafu ndio uje kutoa analysis hapa! This is too low kwa level zako mkuu wangu!
umehongwa na mengi wewe, ITV naangalia kipindi cha mizengwe tu.
hebu imagine watu kama huyu ndio ma prominent news analysts wetu wa kibongo!