Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Kesho ndio game ya Caf Champions League kati ya watani na Zamalek hapo uwanja mkubwa wa Taifa.
Nimeamua kwenda kinyume na mazoea ya kawaida, kwamba mtani akicheza hata na pipa, sisii tushabikie pipa. Nafuata mkondo mwingine kabisa...
Sisi wapenzi na wanachama wa Simba hatujawahi kukubaliana katika kikao chochote rasmi kuwa popote itakapocheza Yanga, basi sisi tushabikie wapinzani wao hivyo kwa kuongozwa na utashi binafsi, nimeamua kuiunga mkono Yanga hiyo kesho.
Tayari nimeshanunua jezi ya rangi ya manjano pamoja na skafu yake, na tiketi ya jukwaa la buluu ninayo.
Mnaounga mkono maamuzi yangu mnakaribishwa.
View attachment 47573Yanga African Sports ClubView attachment 47572
Nimeamua kwenda kinyume na mazoea ya kawaida, kwamba mtani akicheza hata na pipa, sisii tushabikie pipa. Nafuata mkondo mwingine kabisa...
Sisi wapenzi na wanachama wa Simba hatujawahi kukubaliana katika kikao chochote rasmi kuwa popote itakapocheza Yanga, basi sisi tushabikie wapinzani wao hivyo kwa kuongozwa na utashi binafsi, nimeamua kuiunga mkono Yanga hiyo kesho.
Tayari nimeshanunua jezi ya rangi ya manjano pamoja na skafu yake, na tiketi ya jukwaa la buluu ninayo.
Mnaounga mkono maamuzi yangu mnakaribishwa.
View attachment 47573Yanga African Sports ClubView attachment 47572