Habari wanaJF,
Nilishawahi kutuma post siku za nyuma nikeleza jinsi gani mpenzi wangu aliamua kuniacha baada ya kumtumia sms na kumuuliza maswali kadhaa ambayo ndiyo yaliyosababisha tugombane na kuvunja uhusiano wetu. Nashukuru kwa ushauri mlionipa umenisaidia sana naamini haukuwa Mpango wa Mungu kwa hiyo niameamua rasmi nimsahau. Nashukuru Mungu coz hakufanikiwa kupata K, isipokuwa mambo madogo madogo tu ya kawaida. I hop kuwa Mungu atanijalia Mpenzi Mwingine ambaye atanipenda nami nitampenda na if possibo Mungu akipenda ndiye atakuwa mume wangu. Kwa vile naye yuko humu jf namtakia kila la kheri katika mambo yake.
Asanteni kwa ushauri wenu umenisaidia sana na MUNGU AWABARIKI NYOTE
Nilishawahi kutuma post siku za nyuma nikeleza jinsi gani mpenzi wangu aliamua kuniacha baada ya kumtumia sms na kumuuliza maswali kadhaa ambayo ndiyo yaliyosababisha tugombane na kuvunja uhusiano wetu. Nashukuru kwa ushauri mlionipa umenisaidia sana naamini haukuwa Mpango wa Mungu kwa hiyo niameamua rasmi nimsahau. Nashukuru Mungu coz hakufanikiwa kupata K, isipokuwa mambo madogo madogo tu ya kawaida. I hop kuwa Mungu atanijalia Mpenzi Mwingine ambaye atanipenda nami nitampenda na if possibo Mungu akipenda ndiye atakuwa mume wangu. Kwa vile naye yuko humu jf namtakia kila la kheri katika mambo yake.
Asanteni kwa ushauri wenu umenisaidia sana na MUNGU AWABARIKI NYOTE