Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni uamuzi mzuri wa kujichimbia kaburi mwenyewe. Wapo wengi na virus vyao wanakusubiri. Trust me Condom siku ya kwanza ukijitahidi sana siku tatu baada ya hapo mwendo mdundo.
Uhuru wako cheat kabisa mpaka iote sugu.
Hahahahaha Lizzy mpenzi unaniita kichwa maji hata hunijui? tena ukute wewe ni jirani yangu kila siku tunapishana koridoni tukicheka,haya mama asante
hata sikulaumu...ukiwamua kua committed hapa bongo na na wabongo wenyewe ndio haoo...utakua unaumizwa kila kukicha so kula good times..maisha yenyewe mafupi...
kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. Kuwa single siwezi , solution ninayoiona ni kutokuwa serious kwenye mahusiano na kudanganya kama ambavyo wengi wamekuwa wakidanganya. This world is not fair kabisaaaaa, unachotenda sicho unacholipwa. Ninajua kuwa cheater sio vizuri lakini nifanye nini wakati dunia sio fair?? Niwe natenda wema alafu malipo kwa mungu hadi lini?? Dunia ya leo kila kitu kinapelekwa kisanii hivyo na mimi nimeamua niishi kisanii kuanzia mwaka 2012.
Kufa kufa tu, usipokufa kwa ngoma utakufa kwa malaria au kwa chanzo kingine..... la muhimu ni kuplay safe!
lakini pia nyie mnaojifanya wasafi mnajali ndo huwa mnakufa kwa unafiki wenu kwani huwa gizani mnayoyafanya mnayajua wenyewe.
that's a gud one Vanilla. it's rather a broader manifest of a long-held/lived lifestylethey say people dont change...you just didnt know them well before....so sio kwamba umeamua kuwa cheater, you were always a cheater sema tu ulikuwa hujajidhihirisha. usisingizie kutendwa ndio kubadili tabia yako!
TELO wewe mchawi eeehh hahahahahahahahahahahaha au ni shekhe yahaya amefufuka, mhhh haya, umejuaje kwamba niko mbali na mume wangu??KWAHIYO NA WEWE HUKO ULIPO TENA MBALI NA MMEO KWA KIPINDI KIREFU UNAWAPA SIYO? SIKU ANAKUPOKEA AKIAMINI MKE WAKE YUKO SALAMA KUMBE SI AJABU HADI GROUP SEX TAYARI AMEWAHI SHIRIKI? ACHA KUMDANGANYA MWENZIO GETRUDE KWA MAWAZO YA KUPOTEZA. With your education and exposure we would expect you to be productive and not the way you always support these kind of things.
Kila siku unaita watu wanafiki kisa wamekwenda tofauti na kile unachopenda? Nani kakuambia kwamba kila mtu anafikiria sawa kama wewe? Acha kumdanganya Getrude tafadhali, kwani anahitaji msaada wa ushauri kuliko hizi support zenye nia ya kumpoteza kama unazompa.
TELO wewe mchawi eeehh hahahahahahahahahahahaha au ni shekhe yahaya amefufuka, mhhh haya, umejuaje kwamba niko mbali na mume wangu??