Nimeamua kuuchuna tu.

Bornvilla

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
924
271
1) Juha: Nilimpigia simu mke
wangu akapokea hakusema
'Hallow! Nami nikauchuna.
Sikuongea mpaka credit yote
ikaisha!
2) Zoba: Niligonga mlango mke wangu akafungua, lakini
hakuniambia karibunikasimam
a palepale mlangoni mpaka
kesho yake nikageuza
nikaondoka.
3) Zuzu: Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenzi,
nimegoma kulala naye hadi leo
ni miaka 6. Wenzake
wakamwambia: Wee muongo,
mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo nimegoma kumuuliza kuwa
watoto ni wa nani?
NIMEAMUA KUUCHUNA tu..!
 
1) Juha: Nilimpigia simu mke
wangu akapokea hakusema
'Hallow! Nami nikauchuna.
Sikuongea mpaka credit yote
ikaisha!
2) Zoba: Niligonga mlango mke wangu akafungua, lakini
hakuniambia karibunikasimam
a palepale mlangoni mpaka
kesho yake nikageuza
nikaondoka.
3) Zuzu: Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenzi,
nimegoma kulala naye hadi leo
ni miaka 6. Wenzake
wakamwambia: Wee muongo,
mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo nimegoma kumuuliza kuwa
watoto ni wa nani?
NIMEAMUA KUUCHUNA tu..!

Sasa sisi tufanyeje? tukuchagulie unapoweza kufit?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom