King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,825
- 24,776
And that is a good motto gal! As long as uko tayari kwa matokeo ya maamuzi yako, I totally agree with u. Just aspire,sikukubaliana nawe kuwa u lov it already kabla hujayaishi hayo maisha. Ushauri wa MJ1 ni wa muhimu, unahitaji kupumzika alone (kama bado hujapata hiyo small house teyari), upate akili timamu. Shida uliyoipata kwa mumeo ni wewe tu unaijua, na hakuina ushabiki kwa hili. Lakini usipojipa muda wa kupona moyo wako,utajikuta unabeba frustrations za nyumba kubwa kwenda nyumba ndogo and nobody is gonna have fun! Pole mama. Just be carefull, tungekua tunajuana ningehakikisha kwenye handbag yako una a fancy package of condoms, for in ur state hiv is haunting u;lest u start thinking straight. What is the rush? Take a deep breath and enjoy being u!
Im ready to be responsible for any outcomes< I swear I wont regret