Nimeamua kuolewa......

ndoa bila mapenzi si ndoa.

Mapenzi ni nini? maana nikiangalia mapenzi ya siku hizi kuna watu wengi hasa mjini wanaangalia kwanza kazi then baadae ndio taratibu taratibu mtu anaingia kwenye serious relationship, KAMA NDOA BILA MAPENZI SI NDOA nadhani watu wangekuwa wakikutana tu haichukui miezi 3 wanaoana lakini kwa kuwa mwanzo watu wana-test ndio utasikia watu wanakaa miaka kadhaa ndio wanaoa/kuolewa wengine wanaishiwa kutendwa. madamX hajasema anataka kuolewa na mtu ambae hampendi ila ametaja vigezo vya mwanaume ambae anadhani akiwa nae nafsi yake itakuwa safi.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hizo condition MadamX uwe nazo kichwani na si kuziweka wazi japokuwa jinsi nilivyokusoma naona kama upo committed kwa mwanaume kiasi kwamba maariage ikawepo nadhani mtafika mbali.
 
Ndio maana nataka vidume vya JF wanipe ideas how to make it better or do it rightly...

Mwongozo wa chipikaaaaaaaaaaaaaaaa! Kutokana na kifungu kileeeeeeeeeee mzungumzaji hatotumia kauli ya kuudhi wengine! Mtoa hoja amesema kwenye red naomba ufafanuzi wa neno VIDUME mweshimiwa chipika
 
MadamX, sounds like you need a character like bishanga ndo atakuwezea wewe. Ni PM kwa ushauri zaidi.
 
MadamX hujatuambia michango tuanze lini? sisi ambao hatukuombwa busara zetu
Ni Mwanamme kabila Gani? (Mhaya au Mpemba?)
Kwa ana kazi gani ya kipato? (Mbunge, Mwanamziki au Mnyanyua vyuma?
atakuwa ameoa au bado (anao wake wangapi kutokana na Dini yenu au yake)
Kuchangia sherehe (ni kwa shilingi au tuhudhurie)
Hongera Bint wa Jamii Forum
Kama atakuwa anahitaji mnyanyua vyuma, naomba a-reserve hiyo nafasi kwa ajili ya POWER G
 
Ndio nimeamua kuolewa at last……but at my own conditions. Kwa kweli nimechoshwa na masharobaro wa hapa mjini, yaani uwizi mtupu, usanii and too many heart breaks, I have to come to conclusion love is not meant for me.

Niko katika mchakato lakini nataka hii ndoa iwe purely of benefits more or less marriage of convenience. Sitaki kuolewa kwa love cause it doesn’t and never worked with me, sitaki kuwa nyumba ndogo, sitaki kuzaa na mume wa mtu, sitaki kuzaa nje ya ndoa, sitaki kulea mume, sitaki kuruka ruka kila siku.

Ninachotaka ni kukidhi matamanio ya mwili, kuendeleza kizazi (tukijaliwa), awe responsible dad to his kids kwasababu sitaki niwe single parent at same wakose mapenzi ya baba yao. Tutasaidiana maisha half half hasa yanayohusu watoto wetu. LOL

Now the challenging part, nataka mawazo yenu, nini nifanye ili hii marriage ionekana attractive kwa mume mtarajiwa. Naomba brainstorming zenu kabla sijaweka bandiko. Maana its like contract and going to be renewable see if we fit, au precaution gani nichukue......

Mtambuzi , Kongosho , Kaunga , The Boss , ndyoko , Preta , Eiyer , King'asti , na Nyani Ngabu na wengineo wote naombeni busara zenu.

MadamX ili hiyo ndowea iwe unavyotaka inabidi usawazishe mivutano iliyomo katika nafsi yako. Bolds na hizo nyekundu haziwezi kuenda pamoja hata siku moja. Unataka ndowa ya kuaminiana wakati huo huo hutaki mapenzi? Haya sasa wewe huna kitu mapenzi ,sasa huyo mwenzako yake ayapeleke wapi? Nyumba ndogo?
 
Mapenzi ni nini? maana nikiangalia mapenzi ya siku hizi kuna watu wengi hasa mjini wanaangalia kwanza kazi then baadae ndio taratibu taratibu mtu anaingia kwenye serious relationship, KAMA NDOA BILA MAPENZI SI NDOA nadhani watu wangekuwa wakikutana tu haichukui miezi 3 wanaoana lakini kwa kuwa mwanzo watu wana-test ndio utasikia watu wanakaa miaka kadhaa ndio wanaoa/kuolewa wengine wanaishiwa kutendwa. madamX hajasema anataka kuolewa na mtu ambae hampendi ila ametaja vigezo vya mwanaume ambae anadhani akiwa nae nafsi yake itakuwa safi.

Mapenzi yafafanue kama mapenzi na sio ya sasa na zamani. Uzuri wa kitu hauwezi kupotea eti kuna watu hawajui wanachofanya huku wakijidai eti wana mapenzi. Mapenzi yatabaki kuwa msingi wa ndowa na yasipokuwepo au kujengwa ndani ya ndowa patakuwa na tatizo.
 
ili hiyo ndoa idumu lazima kuwe na 'moto' wa mahaba, au chemistry isiyoisha..... La sivyo utajidanganya
 
napenda hii level ya kujitambua... you know what you want, you know how to get it and you go for it... it is best thing to think out of the box this way...
 
Ndugu nisome vizuri hapo juu. Ushauri wa wengineo pia unahitajika ikiwa jina lako halipo. Angalia chini nimejibu in bold.

Ni Mwanamme kabila Gani? (Mhaya au Mpemba?) - Hapa sina ubaguzi
Kwa ana kazi gani ya kipato? (Mbunge, Mwanamziki au Mnyanyua vyuma? - Sitaki msanii, good IQ important.
atakuwa ameoa au bado (anao wake wangapi kutokana na Dini yenu au yake) - Sitaki mme wa mtu, kuhusu dini tutapatana baadae
Kuchangia sherehe (ni kwa shilingi au tuhudhurie) Mmh sherehe sio muhimu kuzungumza kwa sasa

Kama nivyo nimeanza namieanza kukusoma mimi nafikiri nisubirie bango2coz ni mpiga zege na vigezo vingine nitakua navyo
 
mi natimiza vigezo vyako vingi,ila cwez kuona mwanamke mwenye pre-condition kiac hiki
 
Ndio maana nataka vidume vya JF wanipe ideas how to make it better or do it rightly...

Ukiingia mkataba na mtu usiyempenda inakuwaje? si itakuwa ni msalaba mzito sana kuubeba? hata hivyo MadameX nilikusahau...umebadilisha ile avator nikafikiri ni mtu tofauti,lol!
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ulivyo inaonesha wanaume wengi watashindwa kuishi na wewe ama walishindwa kuishi na wewe hapo awali. Rudi kijijini kwenu ama tafuta makungwi ili ukungike kwanza then tafuta mume. Mwanamke ni mwanamke hata asome vipi ama hata awe na pesa vipi. Huwezi kumpangia mwanaume ama kumwekea masharti. Hata malkia wa England hana ujanja huo, kama moyo wako hauna uwezo wa kumpenda mwanaume basi sahau kuolewa sanasana utalalwa tu na wanaume tofauti.
 
Nijuze vilivyo

Ndoa ni mkataba wa watu wawili. Huwezi ukaolewa on your OWN CONDITIONS! this is too selfish. We ungesema unataka mtu ambaye mtoana kwa msingi wa urafiki siyo lazima mapenzi labda yadevelop yenyewe baadaye.
Lakini unasound kama sadist fulani. Nilikuwa na rush, nikipata muda mzuri nitakujuza.
Ila usife moyo dadangu.
 
MadameX ni vyema kuwa umebadili avatar maana ile nyingine sijui kama ungefanikiwa katika biashara yako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom