Mwanamke wa hovyo kweli wewe!!
Unadharau wanawake wenzako kwa vile hawajasoma???...........na ukiwa umesoma inakuaje sasa, unaota m.boo au??
kwamba mumeo akikuchezea unaweza ukam.fir.a au?
pambaf kabisa.
Uzuri wa hawa huwa wanakuwa na mapenzi ya dhati akisema anakupenda ni kweli anakupenda kwa dhati.
kUPENDA NI KUCHAGUA.kAZI NI KWAKO.,,KUOA BAAMEDI AU YOYOTE YULE UMPENDAE..
Mnaboa sana nyie viumbe.
Aisee sisi ni waelewa sana...na huwa tunajitahidi kuwavumilieni sana lakini hamvumiliki. Mnajidai mashauzi sana. Viruka njia.
Unajua wanajidanganya kuwa wakisoma wanakuwa warembo kwa sababu ya ma-make up na manywele ya marehemu wa India. Lakini ukweli ni kuwa na MBWECHE nayo ndo inazidi kuwa mbovu kwa sababu ya matumizi mengi na makubwa.
Aliekudanganya kuwa wanaume wasomi ni waelewa sana, nani?? Wadanganye watoto, issue ya uvumilivu na uelewa inategemea na mtu mwenyewe wala sio suala la usomi. Kuna mwanaume mwenzenu humu aliwahi rusha uzi akimtuhumu mkewe kuwa ana dharau kwa kutumia kigezo cha usomi, nashukuru ma intellectuals wa JF wakiwemo wanaume na busara zao walomgundua na kumrudishia kete ye mwenyewe!! Sorry, waite viruka njia haohao unaowajua wewe; BTW, being kiruka njia haijalishi wewe ni jinsia gani, mwanaume pia aweza kuwa kiruka njia!!
Asante sana.
Watu wengi huwa wanawadharau sana watu hawa, lakini mimi nina experience nzuri sana ya viumbe hawa. Ni tofauti na watu wanavyofikiria.
Ina maana baamedi sio mwanamke?Ungekua umepata mmoja kati ya hao unaowaponda ungekuj kutuambia hapa?
Mood: Hapa greti thinka kipipi kaongea kwa hasira sana
Hakuna kiumbe asiemboa mwenzake! Yaani umeona wanawake tu ndo wanakuboa, wewe ulikuwaje kwenye hayo mahusiano yako hadi ushindwane na wanawake wote hao???? Jicheck vizuri bro using'ang'anie kutazama kibanzi cha wenzio tu! Waweza mdharau mwenzio kwa kengeza lake na ukasahau chongo ulonayo, to the extent ukafail hata kuishi na huyo bar maid utakaempata. No wonder we ndo ukawa mzigo hata kwa huyo mdada wa watu!!!
Taratiiiibu! Punguza hasira bibie.
Unaweza kuthibitisha kuwa mi ndo mwenye matatizo?
hapo red , Khaaa!Mood yangu ipo normal wala sina hasira!! Halafu we ni nani hadi usiwe na matatizo? What makes you think kuwa hukuwa na matatizo? Unaweza kunishawishi kuwa u were not the problem kiasi kwamba uachane nao halafu uendelee kuwasema wao tu ndo wakosaji? Anyways, kwa kukusaidia tu kama hukunielewa vizuri, nilimaanisha kuwa nobody is perfect! Jiangalie vizuri na wewe waweza kuwa tatizo lipo kwako, na yawezekana kabisa uliwatua mzigo baada ya kuachana nao! so kuendeleza negativity kutakufanya ujisahau na kujikuta unarudia makosa hata kwa huyo mamsap mtarajiwa! Btw, I accept that onus of proof and u've to reject any hard feelings! First of all, u have that ego of selfishness in the name of love na unaangalia matakwa yako tu thats why unasema hawakufai, do you think uliwafaa? Automatically hukufit na wala hukufix na ndo maana you ended up departing! Then, do you agree kuwa you were a too much sucker? Be it like parasitic habit, too much dependant instead of creating condusive attitude of emotional conveyance as per love embrance, thats why you ended up lacking compatibility! Kikubwa wewe ni mwanaume sio? Sasa sitaki sana kusema what I observed from ur posts however I can ask you one question, kichwa au shingo, kipi kiondolewe ili kimoja kiweze kufunction properly? To be continued.........
Mood yangu ipo normal wala sina hasira!! Halafu we ni nani hadi usiwe na matatizo? What makes you think kuwa hukuwa na matatizo? Unaweza kunishawishi kuwa u were not the problem kiasi kwamba uachane nao halafu uendelee kuwasema wao tu ndo wakosaji? Anyways, kwa kukusaidia tu kama hukunielewa vizuri, nilimaanisha kuwa nobody is perfect! Jiangalie vizuri na wewe waweza kuwa tatizo lipo kwako, na yawezekana kabisa uliwatua mzigo baada ya kuachana nao! so kuendeleza negativity kutakufanya ujisahau na kujikuta unarudia makosa hata kwa huyo mamsap mtarajiwa! Btw, I accept that onus of proof and u've to reject any hard feelings! First of all, u have that ego of selfishness in the name of love na unaangalia matakwa yako tu thats why unasema hawakufai, do you think uliwafaa? Automatically hukufit na wala hukufix na ndo maana you ended up departing! Then, do you agree kuwa you were a too much sucker? Be it like parasitic habit, too much dependant instead of creating condusive attitude of emotional conveyance as per love embrance, thats why you ended up lacking compatibility! Kikubwa wewe ni mwanaume sio? Sasa sitaki sana kusema what I observed from ur posts however I can ask you one question, kichwa au shingo, kipi kiondolewe ili kimoja kiweze kufunction properly? To be continued.........
Acha unyanyasaji. Baamedi ni sawa na wanawakd wengine, ana tabia sawa na wanawake wengine. Ana uwezo sawa na wanawake wengine.
Napenda tu kukushauri uwe makini unapoamua kumchagua. Usimchague kutokana na kazi yake. Usije ukarudi jamvini tena na kuanza kulia.
hapo red , Khaaa!
mi naona nimtangaze kipipi kuwa ndio starring wa hili sredi tu.