Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe umeelewa eh!
Ndio nimeamu kumuacha asafiri kuwaona wazazi wake
Mtambuzi katika siku uliyoniudhi ni leo.......................................
Kichwa cha habari kama gazeti la Uwazi??? Umeanza lini kuandika "UDAKU"
Hovyo kabisa wewe yaani nimekuja mbio kujiandaa kutoa ushauri kumbe ndani ni hivi
Muone kwanza sura mbayaaa kaa nani hii...........................
roho inaniambia umekuja mbio ili uchukue nafasi ya mama yetu. Watoto hatukutaki.
Mwanangu hujambo, haya vipi huko shule ya bweni unakosoma, kwani siku hizi mnaruhuisiwa kuperuzi mitandao, unajua nilikukataza kuchanganya masomo na mitandao. nitakuhamisha nikupeleka Bush kusiko na network. mimi na mama yako tunajinyima ili usome wewe unachezea mitandao. ni mwaka sasa hata sijamnunulia mama Ngina kitambaa cha Chirmen, Kriplin na Polista kwa ajili yako ili usome halafu unaleta mchezo.................... chunga sana..............LOL
faiza habari yako!Umeamua kumuacha wakati andiko lako linaonesha kaamuwa kukuacha, unanchekesha!
na mimi nitabaki nyumbani na wanangu Ngina, Ngano na Ngadu. Muombeeni mama yenu, wifi yenu au shemeji yenu safari njema .LOL
Umemuacha mama umempa talaka au umemwacha akasalimie kisha arudi. Mwenzio kichwa changu kigumu kuelewa chepesi kusahau.
Husm! Naweka tu sawa ni mke wake, si Mama yake.
Ngina,NGANO
NGADU,hahahahah
i lyk the namez
Nilizani Ngabu
'afu we mzee siku hizi nikiona uzi wako nasoma mwisho kwanza...
Tunamuombea asafiri salama na arudi samala