kapolo
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 303
- 101
Huu uzi umenifundisha mambo mengi sana wakuu..umejaribu na katika kujaribu kwako umefanikiwa kwa plan B ambayo nina imani umeipata kupitia plan ya kwanza ya kulima.
Wakuu dodoma naweza pata wap mashamba ya kukodi?nataka kulima ufuta na mtama mweupe nani ana uelewa na mazao haya..nina mpango wa kuanza na hekari 10 tu yaani 5 ufuta na 5 mtama mweupe.mwenye kujua basi naomba anijuze.
Wakuu dodoma naweza pata wap mashamba ya kukodi?nataka kulima ufuta na mtama mweupe nani ana uelewa na mazao haya..nina mpango wa kuanza na hekari 10 tu yaani 5 ufuta na 5 mtama mweupe.mwenye kujua basi naomba anijuze.