Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Aaa wapi......., labda kama we ndo umepanga kumtoa mwenzio kafara!!
Kuna mgawanyo wa madaraka usidhan wote watakuma kama Obama au Maco Jako.
Hufai kuwa JF
Endelea!
nimekugongea like cheusi...topic babkubwa hii.....ila naona umeishusha hadhi kwa kuiweka chit chat...hiii ilitakiwa iwe jukwaa tukufu la habari na hoja mchanganyiko....i think.
ukisema nimejichokea ni kama wanijua vile cheusimangala
Sema mambo usiyoyajua lazma yakupe taabu
OTIS
Paxman soma vizuri uzi wangu.
Kama kuwa kafara basi karibia watanzania wote watakuwa kafara maana sasa hivi kila mtu anadhani anawajua freemason.
hata hiyo link mkuu uliyonipa nina uhakika wa asilimia zoote kuwa sio wa freemason wa ukweli,mim nina rafiki yangu ni mtu mzito kidogo huko majuu na yeye ni member wa hii organization.Anasema kwamba huwezi kujiunga na freemason mpaka mmoja wa ambao tayari ni member akupendekeze kisha viongozi wao watakuchunguza kuona kama unavigezo.
Hivi mnaona uvivu gani kusoma website za uhakika, ofisi zipo mjini dar, si muende tu? Mnaona raha gani umbea huu?
Watanzania wanashangaza sana.
hivi na wanawake wapo freemason.
Hivi mnaona uvivu gani kusoma website za uhakika, ofisi zipo mjini dar, si muende tu? Mnaona raha gani umbea huu?
Watanzania wanashangaza sana.
mkuu OTIS najua hujachoka na wala sikujui na pia ninakuheshimu sana.
Ila ninachojua for sure ni kwamba watanzania sisi ni wajinga sana,ni rahisi kuwa na imani kali juu ya imani za vitu vya ajabu.Najua freemason wapo,lakini hizi habari za watu kujifanya wanaujua sana ufreemason vyanzo vyake ni nini kama sio google.Mim najuana na mtu ambaye ni freemason,ni mtu mzito huko ulaya,hadi kuna jumba la freemason liko scandnavia nimeshawahi kuingia,nilichojifunza ni kweli ni wasiri na hata ukiwa karibu nao hutagundua lolote la ajabu japo kuna vitu vitakupa maswali kichwani lakini siwezi kusema nawajua freemason pamoja na kwamba nishakunywa nao kahawa,kwa mdomo wao na sio kwa kugoogle wamesema huwezi kujiunga nao mpaka member mwenzao akupendekeze,na pia ni lazima uwe tajiri sana ndo na mtu mzito kwenye jamii ndo unakua member,lakini wabongo wanasema ukitaka kuwa tajiri ujiunge nao,hio sio kweli,freemason hawakufanyi uwe tajiri bali inawafanya powerful people kuwa more powerful.wewe niambie habari unazozijua za freemason umezijua wapi kama sio humu humu tu kwenye mitandao na romours kutoka kwa watu na au hayo magazeti ya shigongo yanayoandika mambo ya freemason wamepata wapi hizo habari kama sio mitandaoni.Wewe umeshawahi kukutana na member wa kweli wa freemason?sio hawa akina bob junior wenu mnaodai ni member,namaanisha mtu kama governor hivi wa marekani ukakaa naye akakuelezea ukweli wa mafreemason?Mim sio freemason na kama ni wapinga kristo hawatanipa maana mim namuamin Kristo lakini tuache kushikia bango mambo ambayo kamwe hatutajui ukweli wake.Tukizidi kudhan tunajua wakati hatujui lolote tutaishia kuuana kwa kudhaniana ni mafreemason maana ukivaa nguo fulani fulani ´tayari wewe ni masonic tuache ulimbukeni sisi tunachojua kwa hakika ni foleni za barabarani,mgao wa umeme,ufisadi,Hayo ndo hata mim naweza kusema najua jinsi kero ya mgao ilivyo lakini kutaka kujidai tunajua siri za kuzimu ni kujitia wenda wazimu tu maana bora mtu anayejijua hajui kuliko mazoba yanayodhani yanajua kumbe hayajui kitu.