Nimechoka kuwa mpiga debe wa M4C sasa nataka nijiunge na jeshi la M4C (CDM). Ninaishi Kijitonyama, Je ufisi za karibu za CDM ziko wapi, nahitaji kuchukua kadi yangu rasmi. Na natoa wito kwa wengine wote wapiga debe sasa tufanye kwa vitendo zaidi. NAOMBA WADAU MNIFAHAMISHE OFISI YA CDM ILIYO KARIBU NA KIJITONYAMA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI TANZANIA