kama ccm inakubali kukosolewa, walimfanya nini:-
1: Mzee abdu jumbe
2: Horace kolimba
3: Walimkosakosa nape na sitta
4:...
4. Imrani kombe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ccm inakubali kukosolewa, walimfanya nini:-
1: Mzee abdu jumbe
2: Horace kolimba
3: Walimkosakosa nape na sitta
4:...
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA kingekuwa madarakani kisengeruhusu kusemwa hv kama CCM inavyotoa uhuru wa kukosolewa na Rais Kikwete anatufundisha tuvumiliane mpaka tutakapozoea kusema na kusemwa.
Ushahidi ni jinsi tu mwenyekiti Mbowe anavyopingwa kwenye kikao na Zitto na kumtumia Lema kumshambulia Zitto, je siku wakiwa ikulu atakubali magazeti ya mpinge?
Una ndoto nzuri sana lakini haitatimia. Once a DJ always a DJ!
Tumaini letu
Ujiunge na CCM mara ngapi wewe???
Acha porojo na propanga za Magamba hapa. Jinga kabisa.
Tunakujua wewe ni Mwana-Chama Cha Magamba-CCM tangu enzi na enzi.
Demokrasia iliyoko CCM ni ipi? Hii ya KULINDANA MAFISADI KWA MAFISADI? CCM tunawajua kabisa siku zote hamtaki kukosolewa. Ushahidi uko wazi kabisa. Nikuulize maswali rahisi kabisa ambayo naamini huwezi kuyapatia majibu:Kama utaweza kupata majibu ya haya maswali kwa usahihi wake basi tutasema CCM kuna Demokrasia ya kweli. Nina hakika huna majibu yake. Kwa hiyo wewe endelea kubaki huko huko CCM hatukutaki maana wewe ni mmojawapo wa vibaraka wa CCM!
- Kwanini Kolimba alipoikosoa CCM kwa kusema kimepoteza dira na mwelekeo mkaamua kum-Kolimba?
- Kwanini Spika wa Bunge lililopita Sammy Sitta amenyang'anywa kiti cha Usipika kwa Kukemea na Kukosoa UFISADI?
- Kwanini Amina Chifupa aliuawa baada ya kusema kuwa kuna vigogo wa CCM/Serikali wanafanya biashara za Unga(Dawa za kulevya)?
- Kwanini Mkurugenzi wa zamani wa TBC- Tido Mhando ameondolewa kwenye nafasi yake baada ya kuruhusu TBC kurusha vipindi vya kukosolewa kwa CCM waziwazi?
Kwa kweli demokrasia ndani ya CCM ni kubwa kuliko kati vyama vya upinzani, mfano CDM maamuzi yote yanafanywa na Mbowe, viongozi waliobaki ni bendera fuata upepo. Pia nyie wengine mupate ufahamu kuwa CCM imejitathmini na kufikia uamuzi wa kujivua magamba ili kiwatumikie watanzania kikamilifu, semina elekezi ya viongozi wakuu wa serikali pale Dodoma ni mwendelezo wa kujivua magamba kwa nia ya koboresha utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya 2010 ambayo watanzania walipigia kura!
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA kingekuwa madarakani kisengeruhusu kusemwa hv kama CCM inavyotoa uhuru wa kukosolewa na Rais Kikwete anatufundisha tuvumiliane mpaka tutakapozoea kusema na kusemwa.
Ushahidi ni jinsi tu mwenyekiti Mbowe anavyopingwa kwenye kikao na Zitto na kumtumia Lema kumshambulia Zitto, je siku wakiwa ikulu atakubali magazeti ya mpinge?
<br />Kuna ccm-mtandao I; ccm -mtandao II; ccm-itikadi; ccm-magamba; au ccm-nusu kaputi Ni ccm ipi hasa inajiunga nayo Tumaini letu<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA kingekuwa madarakani kisengeruhusu kusemwa hv kama CCM inavyotoa uhuru wa kukosolewa na Rais Kikwete anatufundisha tuvumiliane mpaka tutakapozoea kusema na kusemwa.
Ushahidi ni jinsi tu mwenyekiti Mbowe anavyopingwa kwenye kikao na Zitto na kumtumia Lema kumshambulia Zitto, je siku wakiwa ikulu atakubali magazeti ya mpinge?
Kwa kweli demokrasia ndani ya CCM ni kubwa kuliko kati vyama vya upinzani, mfano CDM maamuzi yote yanafanywa na Mbowe, viongozi waliobaki ni bendera fuata upepo. Pia nyie wengine mupate ufahamu kuwa CCM imejitathmini na kufikia uamuzi wa kujivua magamba ili kiwatumikie watanzania kikamilifu, semina elekezi ya viongozi wakuu wa serikali pale Dodoma ni mwendelezo wa kujivua magamba kwa nia ya koboresha utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya 2010 ambayo watanzania walipigia kura!
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA kingekuwa madarakani kisengeruhusu kusemwa hv kama CCM inavyotoa uhuru wa kukosolewa na Rais Kikwete anatufundisha tuvumiliane mpaka tutakapozoea kusema na kusemwa.
Ushahidi ni jinsi tu mwenyekiti Mbowe anavyopingwa kwenye kikao na Zitto na kumtumia Lema kumshambulia Zitto, je siku wakiwa ikulu atakubali magazeti ya mpinge?