Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,032
- 79,014
Kwa jinsi mambo yalivyoenda leo mchana huu naona kigagula Yahaya si muchezo jamaa kidogo achungulie Jehanamu ameishia lango la kuzimu! Ama kweli ushirikina hauna maana kama Sheikh Yahaya angesema Mkulu akigombea atakufa nina uhakika Usalama wa Taifa wangekula nae sahani moja kwa kutishia kifo au uhaini lakini wamesemwa wabaya wake Mkulu akakenua meno sasa naona Sheikh Yahaya kalikoroga na limemrudia Mkulu mwenyewe! Ohooo jamani tuwe macho ndo safari hiyo kwa mkulu! utabiri uko njiani na utatimia chondechonde Sheikh Yahaya anamtoa kafara Mkulu!!!