omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Sio rahisi hawa wanasiasa uchwara wa sasa (refer alichosema mwenzao Rostam) kuizuia ITV maana yenyewe imekuwepo kabla wao hawajajua hata kama kuna siasa.umeona ee .ila nji hii kWA HILA,WANAWEZA KUMFANYIA VISA MZEE MENGI.ILA TBC NI JANGA LA TAIFA,NI CHOMBO CHA MTU BINAFSI OR?
Pia angalia jinsi ITV ilivo consistent katika kipindi walichokuwepo cha karibi miaka 20, hii ni katika vipindi, logo, na brands zingine