Nunua video ya Yvone Machaka (Yvone ChakaChaka) itakufariji. Angalia mambo ambayo mume alikuwa akimfanyia mwenzake..... katika ule wimbo wa "Let Him Go",..
Mwache!!
Jaman nimeachwa kisa ni mtandao mmoja hivi wa kijamii, sio kwamba nilikua nautumia vibaya wala nini!! Ila ilifikia mda nikaambiwa mambo yangu yote anayajua kwahiyo mimi na yeye tusijiane!! Nimejaribu kuomba msamaha bila hata kosa kutokulijua ila vimeshindikana, naombeni ushauri wenu wa hali na mali wanajamii wenzangu!
Jaman nimeachwa kisa ni mtandao mmoja hivi wa kijamii, sio kwamba nilikua nautumia vibaya wala nini!! Ila ilifikia mda nikaambiwa mambo yangu yote anayajua kwahiyo mimi na yeye tusijiane!! Nimejaribu kuomba msamaha bila hata kosa kutokulijua ila vimeshindikana, naombeni ushauri wenu wa hali na mali wanajamii wenzangu!
Wanaume wa siku hizi wana mambo mtu hata hajaoa lakini anakupangia mambo utafikiri baba ako! akhaaa..
Wanaume wa siku hizi wana mambo mtu hata hajaoa lakini anakupangia mambo utafikiri baba ako! akhaaa..
Wanaume wa siku hizi wana mambo mtu hata hajaoa lakini anakupangia mambo utafikiri baba ako! akhaaa..
of course kama unamtegemea kama baba'ko lazima akupangie mambo kama baba'ko vile vile