Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Kutokana na sababu zilizo "ndani" ya uwezo wangu,nafurahi
kuwatangazi ndugu,jamaa na marafiki wote ninao wafahamu na wale
nisio wafahamu kwamba:-
1.Sitashiriki katika kikao chochote cha harusi ya yeyote yule.
2.Sitatoa mchango wa sherehe yoyote ile,iwe harusi,kipaimara,sendoff etc.
3.Sitaomba mchango kwa ajili ya chochote kati ya hivyo hapo juu ambavyo vitakua vina
nihusu mimi.
Lakini,likizo yangu hii haimaanishi kwamba sitasaidia wala kushiriki katika
shughuli za mazishi (kuchangia mazishi),harambee ya kupeleka watoto shule,
harambee ya kumpeleka mgonjwa hospitali kwenye matibabu.
Uamzi huu unatokana na ANASA zilizopo kwenye maeneo niliyo yapiga BAN kwani
hela ninazo toa zinatumika kulaani "FURURE" ya yeyote anae fanyiwa sherehe hiyo.
Mimi nina mwaka sasa hivi, na kuna best friend wangu anaolewa kaniomba mchango; nikamwambia simpi saana nitampa zawadi.
Ofisini kuna dada mmoja anaumwa umwa, baada ya kumuona nimempiga msimbazi 2 yaani haamini; nafikiri haelewi kwanini nafanya hivyo. I am into education, health restoration na misiba tu (ambayo mtu hawezi plan before).
Welcome on board Speaker!
Last edited by a moderator: