Nilisali sana arudi salama ili tujue nini kilimtokea kisha tuwamulike wahusika, sasa naanza kuhisi kama nata ku-reverse sala zangu; ila jamaa ndio kapona kisha kaingia mitini - jiiiiiiiiiii! Ukweli umebaki kitendawili..........
Nilisali sana arudi salama ili tujue nini kilimtokea kisha tuwamulike wahusika, sasa naanza kuhisi kama nata ku-reverse sala zangu; ila jamaa ndio kapona kisha kaingia mitini - jiiiiiiiiiii! Ukweli umebaki kitendawili..........
Wengine walijitolea kwa hali mali kutoa michango ya fedha ili apate matibabu mazuri ili arudi salama Tz kuendelea kuwatetea medical doctor wetu.Je imekuwaje kaishia tena mtini?Nilisali sana arudi salama ili tujue nini kilimtokea kisha tuwamulike wahusika, sasa naanza kuhisi kama nata ku-reverse sala zangu; ila jamaa ndio kapona kisha kaingia mitini - jiiiiiiiiiii! Ukweli umebaki kitendawili..........