tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Mimi ni mdanganyika (oohps sorry i meant mtanganyika) niaishi Tanga nina miaka 32.
Nina girlfriend wa mzungu wa kimarekani ana miaka 39, uhusiano wetu ni wa miaka 6 sasa, kwa mwaka tunakutana mara tatu au mbili na mara nyingi huwa anakuja Tanga. mara ya mwisho alikuja september, 2010 na tulikuwa arusha, manyara na tanga kwa wiki tano then akarudi kwao.
Mwaka huu atakuja mwezi februari kwa ajili tuende kuhudhuria sauti za busara music festival. nilimgusia suala la ndoa akasema ni-propose atakubali. nataka ni-propose valentine day ya 2011. wadau wa JF naomba mawazo yenu style gani nitumie ku-propose yaani utundu upi. Zanzibar,tuta-rent nyumba ya ufukweni.
kwa msingi wa biashara aliyonianzishia, sipo pabaya kiuchumi na hii safari ni mimi ndio nagharimia.
Nina girlfriend wa mzungu wa kimarekani ana miaka 39, uhusiano wetu ni wa miaka 6 sasa, kwa mwaka tunakutana mara tatu au mbili na mara nyingi huwa anakuja Tanga. mara ya mwisho alikuja september, 2010 na tulikuwa arusha, manyara na tanga kwa wiki tano then akarudi kwao.
Mwaka huu atakuja mwezi februari kwa ajili tuende kuhudhuria sauti za busara music festival. nilimgusia suala la ndoa akasema ni-propose atakubali. nataka ni-propose valentine day ya 2011. wadau wa JF naomba mawazo yenu style gani nitumie ku-propose yaani utundu upi. Zanzibar,tuta-rent nyumba ya ufukweni.
kwa msingi wa biashara aliyonianzishia, sipo pabaya kiuchumi na hii safari ni mimi ndio nagharimia.