drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
JF ni ya watu wenye heshima zao na yenye kutilia maanani maadili yetu ya kitanzania. Nashauri/naomba uongozi umfungie huyu mtu anayeitwa "BWABWA (shoga)" kwa maana amekiuka maadili yetu ya kitanzania. Mods please ban this person.
nakuunga mkono na wafute post zake zote humu