Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Yametokea mengi sana kwenye siasa za CCM na CHADEMA!
Na yafuatayo ni baadhi ya niliyoweza kujifunza.
1) wabunge wa vyama vyote vya siasa ndani ya bunge plus AG, 95% they talk about their parties interest na 5% tu they talk about public interest!
2) weakness ya chama kimoja ni advantage ya chama kingine!
3) kila upande upo makini kuwin majority support na wakat mwingine wako radhi kumtoa sadaka mwenzao for the party advantage.
4) hakuna chama cha kweli cha kumtetea mtanzania kwa dhati!
5) watanzania wengi tunawaza kwa kutumia mawazo ya viongozi wa hivi vyama, kwa sasa wengi hatuna mawazo huru.
My take: vyama vya siasa vina 5% tu ya kututoa kwenye umaskini na 95% tunayo sisi wenyewe watanzania!
Na yafuatayo ni baadhi ya niliyoweza kujifunza.
1) wabunge wa vyama vyote vya siasa ndani ya bunge plus AG, 95% they talk about their parties interest na 5% tu they talk about public interest!
2) weakness ya chama kimoja ni advantage ya chama kingine!
3) kila upande upo makini kuwin majority support na wakat mwingine wako radhi kumtoa sadaka mwenzao for the party advantage.
4) hakuna chama cha kweli cha kumtetea mtanzania kwa dhati!
5) watanzania wengi tunawaza kwa kutumia mawazo ya viongozi wa hivi vyama, kwa sasa wengi hatuna mawazo huru.
My take: vyama vya siasa vina 5% tu ya kututoa kwenye umaskini na 95% tunayo sisi wenyewe watanzania!