Niliyo yaona Agakhan Hospital

MONTESQUIEU

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
847
80
Jamani mie si mwendaji sana wa hospital ya agakhani.
Lakini kwa haya niliyo yaona kwa mara chache ninazoenda kutibiwa pale yananikera sana.
Labda miye sina bahati.

Siku ya kwanza nimeenda pale nilikaa zaidi ya masaa manne na nusu sijatibiwa.

Skuingine nimekaa karibu siku nzima naangaika na matibabu.

Ya jana sasa ndiyo kali kabisa,

nimeenda na mtoto akiwa anatapika na kuumwa tumbo vibaya sana.
nimefika pale saa 12 .30 hadi saa tatu ndio nikamuona dr.
Dr mwenyewe hana hata mpango na hao wagonjwa.
kakaa mlangoni anakuuliza unaumwa nini mbele ya wagonjwa wenzako .
Kachukua kalatasi kaandika vipimo haya nenda kapime

hata hujamuelezea vizuri ajue ni kipi hasa ambacho unatakiwa kupima.

Hadi inafika saa nne mtoto hajahudumiwa na dalili za kuhudumiwa mapema hazipo.

Kwa kweli nikaamua kuondoka na kumpeleka mtoto hospital nyingine ambapo tulipata huduma baada ya saa tukawa tumeondoka.

Nilicho kiona pale:

System yao inausumbufu sana
Wahudumu hawana utu ni wajeuri na wana nyodo sana
Ma dr wenyewe wapo pale kimaslahi zaidi na sikutoa huduma kwa wagonjwa, vichwa vyao viko juu juu!
Na ukiwaangalia wengi wao hawana uzooefu sana
Au wametoka shule juzi au hawajui ethics za kazi yao.

Agakhani
Uongozi haulioni hili?
Cjui labda mie ndio nimeona hivyo but inakera sana labda je wenzangu mnao tibiwa pale vipi au mie ninabahati mbaya siku ninazoenda ndio zinakuwa hivyo?
 
Unayoyasema yana ukweli kwa akisi fulani. hata mimi na familia huwa tunatibiwa hapo ingawa hilo la Dr wa watoto sijalishuhudia lakini wahudumu wake ni jeuri sana na wala hawana habari ya customer care.
Nadhani tatizo ni kwua wengi wa tunaoenda pale tunatumia bima za afya hivyo wahudumu na wafanyakazi wengine wanakuwa hawana mwanya wa kupata kitu kidogo kutoka kwa wagonjwa
 
Unayoyasema yana ukweli kwa akisi fulani. hata mimi na familia huwa tunatibiwa hapo ingawa hilo la Dr wa watoto sijalishuhudia lakini wahudumu wake ni jeuri sana na wala hawana habari ya customer care.
Nadhani tatizo ni kwua wengi wa tunaoenda pale tunatumia bima za afya hivyo wahudumu na wafanyakazi wengine wanakuwa hawana mwanya wa kupata kitu kidogo kutoka kwa wagonjwa

Ilikuwa emergency alikuwa c doctor wa watoto
 
Nilikuwa pale wiki mbili zilizopita na nikastaajabu kukuta kulikuwa na choo kimoja tu kilichokuwa kinafanya kazi kwa ajili ya wanawake na wanaume cha wagonjwa wa nje. Pia usafi wa choo chenyewe ulikuwa unasikitisha sana ni bora hata vile vya uwanja wa taifa.
 
Ilikuwa emergency alikuwa c doctor wa watoto

Tena wale jamaa wa emmergence ndo kiboko, wanakufanyia visa ili ukate kidogodogo... wanasahau kuwa siku hizi hospital ziko nyingi. Nina hakika uongozi wa agalhan usipolifanyia kazi hili watakosa 'wateja' muda si mrefu
 
Jamani mie si mwendaji sana wa hospital ya agakhani.

Siku ya kwanza nimeenda pale nilikaa zaidi ya masaa manne na nusu sijatibiwa.

Skuingine nimekaa karibu siku nzima naangaika na matibabu.

Ya jana sasa ndiyo kali kabisa,

Sasa ndugu yangu siku ya kwanza, ya pili uozo ni ule ule lakini ukaamua kwenda tena kwa mara ya tatu!!!
hata hivyo pole sana.
Mimi nilifkiri hospital za gharama kama hizo hakuna mambo ya ki"mwananyamala na ki'amana' kumbe hata huko Aghakhan yapo!
 
Tena wale jamaa wa emmergence ndo kiboko, wanakufanyia visa ili ukate kidogodogo... wanasahau kuwa siku hizi hospital ziko nyingi. Nina hakika uongozi wa agalhan usipolifanyia kazi hili watakosa 'wateja' muda si mrefu

Haya nimeyaona pia katika eneo hilo. Inasikitisha sana sehemu ya emergence ambako ndio huduma inatakiwa iwe ya haraka na uhakika! Wana JF tusiishie hapa, haya yaandikwe magezetini ili kuuamsha uongozi mzima wa Aga Khan. Hii ni Hospitali tunayoitegemea sana sisi wafanyakazi, inabidi tuwasaidie waboreshe huduma. Ili kuwasaidia, tuweke hadharani kasoro zao tusiandikiane humu tu. Wanahabari, p'se take action mkaichunguze hosp hii.
 
Jamani mie si mwendaji sana wa hospital ya agakhani.
Lakini kwa haya niliyo yaona kwa mara chache ninazoenda kutibiwa pale yananikera sana.
Labda miye sina bahati.

Siku ya kwanza nimeenda pale nilikaa zaidi ya masaa manne na nusu sijatibiwa.

Skuingine nimekaa karibu siku nzima naangaika na matibabu.

Ya jana sasa ndiyo kali kabisa,

nimeenda na mtoto akiwa anatapika na kuumwa tumbo vibaya sana.
nimefika pale saa 12 .30 hadi saa tatu ndio nikamuona dr.
Dr mwenyewe hana hata mpango na hao wagonjwa.
kakaa mlangoni anakuuliza unaumwa nini mbele ya wagonjwa wenzako .
Kachukua kalatasi kaandika vipimo haya nenda kapime

hata hujamuelezea vizuri ajue ni kipi hasa ambacho unatakiwa kupima.

Hadi inafika saa nne mtoto hajahudumiwa na dalili za kuhudumiwa mapema hazipo.

Kwa kweli nikaamua kuondoka na kumpeleka mtoto hospital nyingine ambapo tulipata huduma baada ya saa tukawa tumeondoka.

Nilicho kiona pale:

System yao inausumbufu sana
Wahudumu hawana utu ni wajeuri na wana nyodo sana
Ma dr wenyewe wapo pale kimaslahi zaidi na sikutoa huduma kwa wagonjwa, vichwa vyao viko juu juu!
Na ukiwaangalia wengi wao hawana uzooefu sana
Au wametoka shule juzi au hawajui ethics za kazi yao.

Agakhani
Uongozi haulioni hili?
Cjui labda mie ndio nimeona hivyo but inakera sana labda je wenzangu mnao tibiwa pale vipi au mie ninabahati mbaya siku ninazoenda ndio zinakuwa hivyo?


Siku nyingine ukienda na mgonjwa mwenye hali mbaya elekea moja kwa moja emergency room. Labda madaktari walikuwa wanawashughulikia wenye hali mbaya zaidi ya hapo. Hospitali zote duniani hakuna ambapo kuna express services, you have to wait, first in first out.
 
Sasa ndugu yangu siku ya kwanza, ya pili uozo ni ule ule lakini ukaamua kwenda tena kwa mara ya tatu!!!
hata hivyo pole sana.
Mimi nilifkiri hospital za gharama kama hizo hakuna mambo ya ki"mwananyamala na ki'amana' kumbe hata huko Aghakhan yapo!

Ndugu yangu nilidhani labda cku hizo zote wanapitiwa mh sasa nimeona hawa ndiyo kawaidayao
 
Siku nyingine ukienda na mgonjwa mwenye hali mbaya elekea moja kwa moja emergency room. Labda madaktari walikuwa wanawashughulikia wenye hali mbaya zaidi ya hapo. Hospitali zote duniani hakuna ambapo kuna express services, you have to wait, first in first out.

Si bora uwe unaijua hiyo emergence room ndugu, mie ckuona hata mgonjwa mwingine pale ni usumbufu tu nenda rudi no maelekezo mazuri, nikukudharau tu na kukupuuza vile umewafuata
 
Haya nimeyaona pia katika eneo hilo. Inasikitisha sana sehemu ya emergence ambako ndio huduma inatakiwa iwe ya haraka na uhakika! Wana JF tusiishie hapa, haya yaandikwe magezetini ili kuuamsha uongozi mzima wa Aga Khan. Hii ni Hospitali tunayoitegemea sana sisi wafanyakazi, inabidi tuwasaidie waboreshe huduma. Ili kuwasaidia, tuweke hadharani kasoro zao tusiandikiane humu tu. Wanahabari, p'se take action mkaichunguze hosp hii.

Kama wamo humu ni bora watusaidie kusafisha huu uozo hapo agakhani. mamabo yapo kienyeji sana
 
Bora Agha Khan....embu jaribu mwananyamala au Temeke hospital
 
Bora Agha Khan....embu jaribu mwananyamala au Temeke hospital

kwa nini unalinganisha private hosp and public state owned? tatizo kubwa la aga khan ni racism and classification. kama si mhindi au kwenye fail haionyeshi kuwa unafanya kazi diplomatic mission, BOT na mashirika yanayofanana nayo. Please don't dare going to aga khan, you will only be frustrated.
 
Huu uozo unaanzia mamlaka za juu. Viongozi wote wangekuwa wawajibikajia kama mama tibaijuka,magufuri,dr slaa,mwakyembe nazani uwajibishaji ungeshafanyika siku nyingi. Lakini kwakuwa hatuna uwajibikaji hata ma dr wanafanya watakavyo bila kuwajibishwa!! Hii ndo danganyika yetu
 
kwa nini unalinganisha private hosp and public state owned? tatizo kubwa la aga khan ni racism and classification. kama si mhindi au kwenye fail haionyeshi kuwa unafanya kazi unafanya diplomatic mission, BOT na mashirika yanayofanana nayo. Please dont dare going to aga khan, you will only be frustrated.

Hii kweli kabisa!
 
Jamani Agakhan pale hapafai,
Ile hospital jamani kwanza ile process ya kujaziwa form (medical form) ili uende kuchukua queue ni issue, yaani mpaka usainishwe kwa kidole gumba.
Pili hakuna uangalifu wowote kwa wagonjwa, yaani manesi hawajali (ikimaanisha wako busy sana)
Tatu madokta pia wako busy tena ni mithili ya Ndodi, ile attentiveness ya kumsikiliza na kutumia sychology kubaini tatizo la mgonjwa nalo ni issue.
The main source ya problem hapa ni UHINDI kukithiri, tazama wajapo wahindi pale wanaongea kihindi na kueleweshana tena kwa upendo sana, yaani credit pating patients hawathaminiwi kabisa na agakhan. Na huu uozo unaanzia kwa CEO wa pale, Director of medicine haelewani na madokta wenzake, manesi ndo usiseme.
Kama unatatizo la watoto kuna daktari alikuwepo zamani agakhan anaitwa Yohana, ana dispensary yake pale ELIA COMPLEX. Ni dr mzuri saana kwa watoto na yupo nao in a friendlier manner. Tena anatibu pia hata kwa medical treatment card.
POLE KWA YALIYOKUKUTA, hawafai wale nawajua vizuri saaana.
 
Back
Top Bottom