MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Jamani mie si mwendaji sana wa hospital ya agakhani.
Lakini kwa haya niliyo yaona kwa mara chache ninazoenda kutibiwa pale yananikera sana.
Labda miye sina bahati.
Siku ya kwanza nimeenda pale nilikaa zaidi ya masaa manne na nusu sijatibiwa.
Skuingine nimekaa karibu siku nzima naangaika na matibabu.
Ya jana sasa ndiyo kali kabisa,
nimeenda na mtoto akiwa anatapika na kuumwa tumbo vibaya sana.
nimefika pale saa 12 .30 hadi saa tatu ndio nikamuona dr.
Dr mwenyewe hana hata mpango na hao wagonjwa.
kakaa mlangoni anakuuliza unaumwa nini mbele ya wagonjwa wenzako .
Kachukua kalatasi kaandika vipimo haya nenda kapime
hata hujamuelezea vizuri ajue ni kipi hasa ambacho unatakiwa kupima.
Hadi inafika saa nne mtoto hajahudumiwa na dalili za kuhudumiwa mapema hazipo.
Kwa kweli nikaamua kuondoka na kumpeleka mtoto hospital nyingine ambapo tulipata huduma baada ya saa tukawa tumeondoka.
Nilicho kiona pale:
System yao inausumbufu sana
Wahudumu hawana utu ni wajeuri na wana nyodo sana
Ma dr wenyewe wapo pale kimaslahi zaidi na sikutoa huduma kwa wagonjwa, vichwa vyao viko juu juu!
Na ukiwaangalia wengi wao hawana uzooefu sana
Au wametoka shule juzi au hawajui ethics za kazi yao.
Agakhani
Uongozi haulioni hili?
Cjui labda mie ndio nimeona hivyo but inakera sana labda je wenzangu mnao tibiwa pale vipi au mie ninabahati mbaya siku ninazoenda ndio zinakuwa hivyo?
Lakini kwa haya niliyo yaona kwa mara chache ninazoenda kutibiwa pale yananikera sana.
Labda miye sina bahati.
Siku ya kwanza nimeenda pale nilikaa zaidi ya masaa manne na nusu sijatibiwa.
Skuingine nimekaa karibu siku nzima naangaika na matibabu.
Ya jana sasa ndiyo kali kabisa,
nimeenda na mtoto akiwa anatapika na kuumwa tumbo vibaya sana.
nimefika pale saa 12 .30 hadi saa tatu ndio nikamuona dr.
Dr mwenyewe hana hata mpango na hao wagonjwa.
kakaa mlangoni anakuuliza unaumwa nini mbele ya wagonjwa wenzako .
Kachukua kalatasi kaandika vipimo haya nenda kapime
hata hujamuelezea vizuri ajue ni kipi hasa ambacho unatakiwa kupima.
Hadi inafika saa nne mtoto hajahudumiwa na dalili za kuhudumiwa mapema hazipo.
Kwa kweli nikaamua kuondoka na kumpeleka mtoto hospital nyingine ambapo tulipata huduma baada ya saa tukawa tumeondoka.
Nilicho kiona pale:
System yao inausumbufu sana
Wahudumu hawana utu ni wajeuri na wana nyodo sana
Ma dr wenyewe wapo pale kimaslahi zaidi na sikutoa huduma kwa wagonjwa, vichwa vyao viko juu juu!
Na ukiwaangalia wengi wao hawana uzooefu sana
Au wametoka shule juzi au hawajui ethics za kazi yao.
Agakhani
Uongozi haulioni hili?
Cjui labda mie ndio nimeona hivyo but inakera sana labda je wenzangu mnao tibiwa pale vipi au mie ninabahati mbaya siku ninazoenda ndio zinakuwa hivyo?