ummiss nani wewe njaa tupu?
Hivi mwita25 uwa uwezi kukaa kimya kama huna la kuchangia? Au kuna sheria inayosema kila thread unayofungua lazima uchangie?
Kwani ukiwa X-MASS jukwaani huonekani au ulikuwa kwa BABU????Nilienda krismas vidole vikapendelea huko, leo vimehama baada ya menu kubadilika.
karibu tena kijiweni..
JF ni kijiwe? Kuwa na adabu wewe.