Nilivurunda interview yao lkn bado waliniita kazini

Pengine walikua wanahitaji mtu kama wewe...! haukujibu ki fedhuli hata kidogo..., kama sikosei wangekuweka magereza ukawe nyapara

wewe usione kua jeuri na umewaweza.... Cheza cheza ukute wanakulia taiming, waje wakubambe ulipwe jeuri yako.. Nenda kaachie mdomo uone janja ya wenzako.
 
Back
Top Bottom