Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hii tuuite "Habari ndo hiyo" au "Mpasho"?Embu acha umbea na wewe...uadui JF wa kazi gani?!
Hii tuuite "Habari ndo hiyo" au "Mpasho"?Embu acha umbea na wewe...uadui JF wa kazi gani?!
umewaza nini ndugu yangu....uko mbali sana na ukweli!hao ni maadui mkuu wacha wararuane
Hii tuuite "Habari ndo hiyo" au "Mpasho"?
Shosti kaingia, ulimi ukateleza. Nsamehe hommie. afu msalimie Shoti.... naenda kupanga meza....hahahah hommie sasa apo si ungeuchuna tu,,,,,dah
hahahahaahah mi mzima kabisa...japo hutaki pita mwananyamala!Shosti kaingia, ulimi ukateleza. Nsamehe hommie. afu msalimie Shoti.... naenda kupanga meza....
usiseme hatujakuonya....Huyu salimia mwenyewe yuko wapi?
usiseme hatujakuonya....
Shosti kaingia, ulimi ukateleza. Nsamehe hommie. afu msalimie Shoti.... naenda kupanga meza....
Kwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.
Hii ni UTAJIJU kwa herufi kubwa!Hii tuuite "Habari ndo hiyo" au "Mpasho"?
Mama wa kwanza hapa watu wanaongeza post tu....hamna la maana!kha hii sredi ndo inahusu nini we binti Lizzy?:mod:
sasa kama hakuna la maana, kwanini wewe unaingia kwenye hii sredi?Mama wa kwanza hapa watu wanaongeza post tu....hamna la maana!
Ili niipe maana...!sasa kama hakuna la maana, kwanini wewe unaingia kwenye hii sredi?
mmmh! fuzzy!!Ili niipe maana...!