Kwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.