Aliyekuwa spika wa bunge lililopita mh samwel sitta amedai yeye kukosa nafasi ya uspika ni hila za mahasimu wake wa kisiasa na wale wasiolitakia mema taifa hili,pia amelihusisha jambo hilo na harakati za urais 2015
my take:
Namuomba sana naye adandie hoja ya katiba mpya kama wanavyofanya wenzake wa chama chake kwa sasa ili kukabiliana na hao mahasimu wake wanaoutaka urais 2015
my take:
Namuomba sana naye adandie hoja ya katiba mpya kama wanavyofanya wenzake wa chama chake kwa sasa ili kukabiliana na hao mahasimu wake wanaoutaka urais 2015