Nilitemwa uspika kwa hila....

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
Aliyekuwa spika wa bunge lililopita mh samwel sitta amedai yeye kukosa nafasi ya uspika ni hila za mahasimu wake wa kisiasa na wale wasiolitakia mema taifa hili,pia amelihusisha jambo hilo na harakati za urais 2015

my take:
Namuomba sana naye adandie hoja ya katiba mpya kama wanavyofanya wenzake wa chama chake kwa sasa ili kukabiliana na hao mahasimu wake wanaoutaka urais 2015
 
Aliyekuwa spika wa bunge lililopita mh samwel sitta amedai yeye kukosa nafasi ya uspika ni hila za mahasimu wake wa kisiasa na wale wasiolitakia mema taifa hili,pia amelihusisha jambo hilo na harakati za urais 2015

my take:
Namuomba sana naye adandie hoja ya katiba mpya kama wanavyofanya wenzake wa chama chake kwa sasa ili kukabiliana na hao mahasimu wake wanaoutaka urais 2015
ushauri mzuri huyu mzee inabidi aufuate!
 
Back
Top Bottom