Jamaa zake wamempa fupa sasa anapiga kelele za nini? Ndiyo matunda ya kuvaa sare za kijani,kwa manjano. Yakikushinda tupa manyanga chini. Adhabu yako ni hiyo ya kupewa fupa.
Ngangana fupa lako, wacha fujo. Hukuelewa kuwa wanakutia mfukoni? Wanasema Tumikia upate mradi wako! There you go!
Huwezi kusukuma gari ukiwa ndani, shuruti ushuke ndio ulisukume. Huyu mzee hajui kuwa kilicho mkosesha uspika ni unafiki wake na kutokuwa na msimamo. Hakuna mtu yeyeto ambaye ameweza kuwa mwanaharakati na akakosa msimamo. Walio mmaliza walijua udhaifu huo ndani yake na wakautumia. Sasa aache blaablaa asubiri kutumwa kazi na afanye akiendelea kupiga domo na huo uwaziri watamtema ndio ajue kuwa kashaisha kisiasa, si dhani kama hili analijua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.