Nilitembea na ndugu yake.....

Hakika hapo unatakiwa kuwa jasiri na kumweleza ukweli wooote bila kumficha,itaku'cost' endapo mwenyewe atasikia na kuambiwa habari na mwingine,na isitoshe itapunguza upendo wako kwake na kumpa wasiwasi ambao kimsingi unaweza kuuepuka.Just take the step mwambie bila kumficha,vaa moyo uliojaa ujasiri na kujiamini
 
Watu wengine especially wanawake hawapendi kuongelea mahusiano yao ya nyuma. Ukitaka kujua lazima u-probe na inawafanya wajisikie vibaya kuulizwa. Nadhani wanahisi kuwa na wanaume wengi huko nyuma ni uhuni wakati wanaume wanaona fahari kutaja kuwa FG wa sasa labda ni wa 115!!!

Katika mazingira ya sasa ambayo watu hawasubiri hata birthday yao ya 10, ni bora kuweka mambo mezani ila sishaurii hizo topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano! Kwanza watu watamaniane sana kabla ya kumwagiana nyongo!
dark city, yaani watu waanze mahusiano kwanza ndio badae waambiane, kweli hii sio nzuri, unajua dunia ya sasa hivi, ikiwa huyo ni ndugu yako? au alikuwa gf wa kaka yako toka nitoke utaendelea na mchakato wa mapenzi yenu?
 
Kufa nalo moyoni Da pretty, ukimwambia utakuwa unajenga inferiolity situation kwa mwenzio. Ila na wewe ulikosea, ilipaswa uwe mvumilivu kwa mchumba wako wa kwanza!
 
1. Huyo mpenzi wako wa sasa kwa vovote atakuwa anajua kuwa wewe ulishawahi kuwa na mahusiano na mshaki mwingine ambae yeye kwa namna mmoja au nyingine labda asingemfahamu

2. Ikitokea bahati mbaya kama hiyo inabidi apige moyo konde na akubaliane na matokeo. Kikubwa na wewe usije ukatamani ulikotoka, mana huenda umekosa raha baada ya kukumbuka utamu wa zamani.

3. La mwisho jiulize siku inatokea unamtambulisha yeye kwa ndugu yako ambae yeye alishawahi kutembea nae itakuwaje? Jipe moyo utashinda.
 
mwambie mapema ili kama anaamua kwenda iwe mapema kuliko baadae penzi likishika mizizi sana...anyway pole kwa mtihani.
 
dark city, yaani watu waanze mahusiano kwanza ndio badae waambiane, kweli hii sio nzuri, unajua dunia ya sasa hivi, ikiwa huyo ni ndugu yako? au alikuwa gf wa kaka yako toka nitoke utaendelea na mchakato wa mapenzi yenu?
Kwa kweli haitakiwi kuanza mahusiano mapya kabla hamjaongelea ya zamani, hata kama sio yote kuna yale yalikuwa serious kidogo, na ukisema utakuwa free sana kwenye mahusiano yako, please mwambie leoleo
 
Watu wengine especially wanawake hawapendi kuongelea mahusiano yao ya nyuma. Ukitaka kujua lazima u-probe na inawafanya wajisikie vibaya kuulizwa. Nadhani wanahisi kuwa na wanaume wengi huko nyuma ni uhuni wakati wanaume wanaona fahari kutaja kuwa FG wa sasa labda ni wa 115!!!

Katika mazingira ya sasa ambayo watu hawasubiri hata birthday yao ya 10, ni bora kuweka mambo mezani ila sishaurii hizo topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano! Kwanza watu watamaniane sana kabla ya kumwagiana nyongo!

DC imagine ungekuwa wewe. Ungependa uambiwe na nani? Ndugu yako au Da Pretty mwenyewe? Kitendo cha wanawake kutopenda kuongelea mahusiano yao ya nyuma huwa kinawaponza sana. Mwanaume kamili atajua tuu kuwa wanawake huwa wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi huko nyuma. Ndio maana hatuwakuti bikira. Katika dunia ya sasa ni vigumu kukuta mwanamke ambaye hajawa na mahusiano ya kimapenzi. Japokuwa nakubaliana na wewe kuwa sio sahihi hizi topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano, lakini kwa hii issue ya Da Pretty ni exceptional. Wanasema there is no rule without exception. It is likely that huyo ndugu atamwambia. Na kwa vile ndio kwanza wameanza uhusiano, ndugu yake atataka kumtahadharisha ndugu yake mapema, kabla mapenzi hayajaenda to the next level. Asikudanganye mtu ndugu ni ndugu.
 
DC imagine ungekuwa wewe. Ungependa uambiwe na nani? Ndugu yako au Da Pretty mwenyewe? Kitendo cha wanawake kutopenda kuongelea mahusiano yao ya nyuma huwa kinawaponza sana. Mwanaume kamili atajua tuu kuwa wanawake huwa wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi huko nyuma. Ndio maana hatuwakuti bikira. Katika dunia ya sasa ni vigumu kukuta mwanamke ambaye hajawa na mahusiano ya kimapenzi. Japokuwa nakubaliana na wewe kuwa sio sahihi hizi topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano, lakini kwa hii issue ya Da Pretty ni exceptional. Wanasema there is no rule without exception. It is likely that huyo ndugu atamwambia. Na kwa vile ndio kwanza wameanza uhusiano, ndugu yake atataka kumtahadharisha ndugu yake mapema, kabla mapenzi hayajaenda to the next level. Asikudanganye mtu ndugu ni ndugu.

Mimi ningependa kuambia na DP mwenyewe. Hata hivyo napingana na kuanza kumwaga list yoote mapema mno. Ni sawa na kuuza silaha zako muhimu kwa adui. Binafsi ningependa watu waanze kuweka wazi kuwa walikuwa na mahusiano huko nyuma ila details zitolewe taratibu!
 
DC imagine ungekuwa wewe. Ungependa uambiwe na nani? Ndugu yako au Da Pretty mwenyewe? Kitendo cha wanawake kutopenda kuongelea mahusiano yao ya nyuma huwa kinawaponza sana. Mwanaume kamili atajua tuu kuwa wanawake huwa wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi huko nyuma. Ndio maana hatuwakuti bikira. Katika dunia ya sasa ni vigumu kukuta mwanamke ambaye hajawa na mahusiano ya kimapenzi. Japokuwa nakubaliana na wewe kuwa sio sahihi hizi topic kupewa kipaumbele katika siku 100 za mwanzo wa uhusiano, lakini kwa hii issue ya Da Pretty ni exceptional. Wanasema there is no rule without exception. It is likely that huyo ndugu atamwambia. Na kwa vile ndio kwanza wameanza uhusiano, ndugu yake atataka kumtahadharisha ndugu yake mapema, kabla mapenzi hayajaenda to the next level. Asikudanganye mtu ndugu ni ndugu.
Nimeipenda sana hii kweli kabisa, bora mapema kuliko kusubiria msiba
 
dark city, yaani watu waanze mahusiano kwanza ndio badae waambiane, kweli hii sio nzuri, unajua dunia ya sasa hivi, ikiwa huyo ni ndugu yako? au alikuwa gf wa kaka yako toka nitoke utaendelea na mchakato wa mapenzi yenu?

Sipingi kuongelea mahusiano, ila nashauri details zisitolewa mapema mno. Wanawake mara nyingi huumizwa na taarifa za namna hiyo kwani si ndara kusikia dada kaachwa eti kwa kuwa aliwahi kuwa na wapenzi 10. Najua wanaume huadai hizo taarifa zaidi ya mkopo ila na vizuri wanawake wakazitoa kwa ufupi bila kumwaga undani wake. Wapeni wanaume nafasi wamalize tamaa. Zikishaisha na wakawapenda basi huweza kuvumia mambo mengi sana kuliko kama wangeelezwa mapema!

Kwa kweli haitakiwi kuanza mahusiano mapya kabla hamjaongelea ya zamani, hata kama sio yote kuna yale yalikuwa serious kidogo, na ukisema utakuwa free sana kwenye mahusiano yako, please mwambie leoleo

Kwa hiyo unashauri kwamba toka day zero mtu aelezwe list ya waliotangulia wote, majina yao, wanakoishi, kazi zao, mara ngapi wamebanjua amri y 6 n.k?
 
Sipingi kuongelea mahusiano, ila nashauri details zisitolewa mapema mno. Wanawake mara nyingi huumizwa na taarifa za namna hiyo kwani si ndara kusikia dada kaachwa eti kwa kuwa aliwahi kuwa na wapenzi 10. Najua wanaume huadai hizo taarifa zaidi ya mkopo ila na vizuri wanawake wakazitoa kwa ufupi bila kumwaga undani wake. Wapeni wanaume nafasi wamalize tamaa. Zikishaisha na wakawapenda basi huweza kuvumia mambo mengi sana kuliko kama wangeelezwa mapema!



Kwa hiyo unashauri kwamba toka day zero mtu aelezwe list ya waliotangulia wote, majina yao, wanakoishi, kazi zao, mara ngapi wamebanjua amri y 6 n.k?
Nahauri tangu mnaanza kutongozana kwa maelezo, na mambo mengine huwa kuna history mnapeana basi kama una hakika ndio mwenyewe umemchagua muambiane kila kitu ili isilete usumbufu badae
 
Nahauri tangu mnaanza kutongozana kwa maelezo, na mambo mengine huwa kuna history mnapeana basi kama una hakika ndio mwenyewe umemchagua muambiane kila kitu ili isilete usumbufu badae

Kweli mdogo wangu? Yaani tukikutana leo ndani ya siku 30 nimeshajua historia yako toka unaanza kuionja dunia?

Binafsi sikutaka kujua hizo details toka kwa mama watoto. Pamoja na kuishi naye kwa zaidi ya mwongo mmoja naamni kuna mambo yake mengi siyajuia na sihitaji kuyajua! Jamani pamoja na kuwa huru kukaa uchi mbele ya wenzetu lakini tubakize basi hata sehemu chache zilizofunikwa na leso!
 
Kweli mdogo wangu? Yaani tukikutana leo ndani ya siku 30 nimeshajua historia yako toka unaanza kuionja dunia?

Binafsi sikutaka kujua hizo details toka kwa mama watoto. Pamoja na kuishi naye kwa zaidi ya mwongo mmoja naamni kuna mambo yake mengi siyajuia na sihitaji kuyajua! Jamani pamoja na kuwa huru kukaa uchi mbele ya wenzetu lakini tubakize basi hata sehemu chache zilizofunikwa na leso!
Mie nataka anijue vilivyo ili leo na kesho tuko mlimani city nasalimiwa sitaki kujing'atang'ata kabisa, namwambia tu huyu ni yule mtu niliyekwambia
 
Mie nataka anijue vilivyo ili leo na kesho tuko mlimani city nasalimiwa sitaki kujing'atang'ata kabisa, namwambia tu huyu ni yule mtu niliyekwambia

Mhhhhh......haya bwana.....Watu tunatofautiana.

Ex GF aliachika mwaka mmoja baada ya ndoa na kaachwa na watoto (twins). Mojawapo ya sababu ninazohisi zilichangia ni tatizo la mume wake kunifahamu mimi. Alimpora toka kwangu akadhani kwamba huo ulikuwa ujanja. Ila mara zote nilizoonana na huyo mwanaume alikuwa anakosa raha na kusawajika. Mbaya zaidi siku moja (muda mfupi kabla ya harusi yao) alikuta nasalimiana na huyo Ex wangu kituo cha dala dala. Naamini kuanzia siku hiyo hakuwa tena na hamu na huyo dada.

Kwa hiyo nashauri wanawake wawe waangalifu linapokuja suala la kuwaelezea ma EX wao. Binafsi sihitaji kujua details zozote zaidi ya kujua kwamba mtu niliye naye sasa alikuwa na watu huko nyuma. Ni akina nani hao...hayo ni mambo yake binafsi!
 
Ulishawahi kutembea na Ndugu yake?
Halafu anataka kukuoa, na anakuamini?
We mwambie tu ukweli ili uwe huru, lakini tarajia mawili..
Usiumie akikuacha manake kwa kawaida wanaume tunapenda kulinda ego zetu..
Anaweza kukutema kwa sababu tu hatakuwa akijisikia comfortable mbele ya huyo Ndugu yake (ex wako)
Au anaweza kuamua kuendelea na wewe kulingana na tabia zako za sasa pamoja na mahusiano yenu yalivyo..
Ila ningekuwa mimi, most likely ningenawa mikono na kukaa pembeni (Ngoja nikuombee huyo jamaa asiwe kama mimi)
 
Ulishawahi kutembea na Ndugu yake?
Halafu anataka kukuoa, na anakuamini?
We mwambie tu ukweli ili uwe huru, lakini tarajia mawili..
Usiumie akikuacha manake kwa kawaida wanaume tunapenda kulinda ego zetu..
Anaweza kukutema kwa sababu tu hatakuwa akijisikia comfortable mbele ya huyo Ndugu yake (ex wako)
Au anaweza kuamua kuendelea na wewe kulingana na tabia zako za sasa pamoja na mahusiano yenu yalivyo..
Ila ningekuwa mimi, most likely ningenawa mikono na kukaa pembeni (Ngoja nikuombee huyo jamaa asiwe kama mimi)

Unaweza kutueleza kwa nini ungeanza mbele?
 
Mhhhhh......haya bwana.....Watu tunatofautiana.

Ex GF aliachika mwaka mmoja baada ya ndoa na kaachwa na watoto (twins). Mojawapo ya sababu ninazohisi zilichangia ni tatizo la mume wake kunifahamu mimi. Alimpora toka kwangu akadhani kwamba huo ulikuwa ujanja. Ila mara zote nilizoonana na huyo mwanaume alikuwa anakosa raha na kusawajika. Mbaya zaidi siku moja (muda mfupi kabla ya harusi yao) alikuta nasalimiana na huyo Ex wangu kituo cha dala dala. Naamini kuanzia siku hiyo hakuwa tena na hamu na huyo dada.

Kwa hiyo nashauri wanawake wawe waangalifu linapokuja suala la kuwaelezea ma EX wao. Binafsi sihitaji kujua details zozote zaidi ya kujua kwamba mtu niliye naye sasa alikuwa na watu huko nyuma. Ni akina nani hao...hayo ni mambo yake binafsi!
Mhh hao watoto sio wako kweli babu DC?
 
Back
Top Bottom