Habari wana jf, yaani hapa najipongeza maana nilitaka kufanya kitu ambacho pengne ningejutia in life. Kuna gal tunakaa nae nyumba 1 ya kupanga(huku nilipo kwa aunt) xa nilimtokea n akakubali yeye yupo kwa dada yake. Mida hii naenda chooni na yeye ndo alikua anaenda kuoga, mtu mzima nikafosi nikaingia nae bafuni mtoto kavua nguo na mi nkavua ila naanza ma touches dada yake kaita jina la huyo demu kamwambia afanye fasta kuna k2 amuelekeze xo nikavaa haraka nikarudi zangu room. Dah kosa hvyo ninge sex nae bila zana maana sikua nazo. NASHUKURU KURUKA MTEGO