Nilipokuwa Ntwara niliktana na Nchumali

Dunda kwetu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
265
37
Songea nikakutana na Nguluwe pamoja na aliekuwa kilanja wetu enzi zile sasa Mh Komba bin Ngonyani..
Mkuranga nikamkuta mwenyekiti wetu wa baraza la kufumua madudu Bibi Chawatu bint Shomvi
Naelekea Morogolo mjini kasolo bahari.Hiii ndio Tanzania miji na majina ya wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom