Unaweza usiamini ila ndiyo ukweli, nilipokuwa darasa la pili, siku moja nilimbembeleza mtoto mmoja ambaye naye alikuwa darasa la pili ili aniachie ngoma, haikuwa tabu kwani aliniambia kama nitampa senti hamsini haitakuwa shida, kwa kuwa pesa hiyo sikuwa nayo ilibidi niende kuchota kahawa ya mama na kwenda kuiuza dukani ambapo nilipewa kama shilingi moja, hivyo nilimlia timing yule demu na kumkabidhi senti hamsini alizohitaji, aliniahidi kuwa nitangulie kwenye kichaka fulani then atatia timu, nilikaa pale kwa masaa kadhaa mpaka nilipoona usiku unaingia ikabidi nirudi home huku nikiwa siamini kilichotokea, kesho kwa bahati nilimuona na kumuuliza mbona hakuja? aliruka kimanga na kuniambia hela niliyompa haitoshi, jambo lililofanya nimuongeze sent 50 nyingine, baada ya kumpa hiyo sikumuuona tena hadi baada ya siku kama 2 ambapo nilipomhoji akaniambia nimkome. Nilimhakikishia kuwa kama ameshindwa lazima atarudisha hela yangu, baada ya juhudi zote za kudai hela yangu kugonga mwamba siku moja usiku nikatia timu kwao, kwa bahati nilimkuta akiwa na mama yake na hapo nilimweleza kuwa naomba anirudishie hela yangu baada ya mzozo aliingia ndani na kunitolea sh. 1 na hapo nikarudi nyumbani kwa amani.