Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Huyu mama mae hana jipya kama mzee. Najiuliza maswali hapa. Huko hospitlai alitumia jina gani la ubini? Baada ya kutoka hospitali alichukua hatua gani? Kipi kimeboreshwa hadi leo? Haoni kuficha jina la ospitali analea maradhi? Anamwogopa nani? Kishindwa kujibu maswali hayo aende zake huko