Nilikuwa Natambika, sina lolote!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,972
1,649
Kwa mliomkosa kumuona mama Tunu Pinda, baada ya kuimba imba kipogoro chake cha Uponera, eti akaishia kuwaambia wanawake wenzake kwa kusema 'Nilikuwa natambika sina lolote', na jinsi hiyo tv ya magamba walivyoipa air time hiyo session, mie nikabaki hoi! wake wa wakubwazetu hao!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom