BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
kakutumia na umetumika na kwa maelezo yaku utaendelea kutumika!
check unavyoongea ka vile unatangaza habari njema! Hv huoni aibu? Dont tel me mkeo akigundua uozo huo utakuwa unaongea hv? Aaahg! Unatia hasira....eti ungetakaga ungemla zamani....umaana wa wewe kudelay umekwisha cuz umeshamfunua...iwe kwa mpira au peku,umezini, umegawa penzi la mkeo...repent dude! Ila .......!Nashukuru kwa wote mliochangia, (Ngeleja alikuwa amechukua umeme wake ndo umerudi just now) ukweli hana ujauzito wangu because japo nilinaswa na mtego bila kujua i was careful to use protection and it was just once on that day. Tatizo ni kwamba anaongeza mawasiliano kwa kasi sana ndo nimeamua tuu kupuuzia i dont reply. Kuhusu kusomesha kamwe i will not do in the way she like, coz it seems (japo hajasema) its like she want me to treat her like a wife. So i cant do. Unajua wadau mii nilimheshimu sana kwa miaka yote hiyo kama ningetaka ningeshamla cku nyingi but i knew it could bring problems, but now ukweli nilitegwa na si unajua tena hisia zikishaamka na mazingira yakisharuhusu ndo hivyo tena.